We mwanaume unikome!

We mwanaume unikome!

maskini huyo mkaka sijui mbaba ! jaman angalien sana na matusi ya kuwatukna wanaume zenyu (kwanza kwann umtukane shost)? inimejiskia vby ! we umwache tu ukute atakutana na anayekiwezea kibamia kama kapeace ! naamini hujayajua mapenzi bado ! una kasafari karefu saana!
Sema tu huyo ni bahili lkn mbn bamia ndo mboga yangu tena azikome kabisa, huyu ana bwawa huyu
 
hahaha nakujua kwa bamia wewe !lol
Kwa matusi alopewa huyo kaka nimejihisi kuumia mpk chozi huyu Dada ana laana huyu humtaki si umuache hicho kibamia kimezaliwa na ke km yeye je yeye akizaa vidume vyenye nukta kbs dah yaani sielewi hata nimwambieje ili kuonyesha alivyomkosea adabu dah Daniella jina km langu halafu kaleta upuuzi huu [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] so sad
 
Kwa matusi alopewa huyo kaka nimejihisi kuumia mpk chozi huyu Dada ana laana huyu humtaki si umuache hicho kibamia kimezaliwa na ke km yeye je yeye akizaa vidume vyenye nukta kbs dah yaani sielewi hata nimwambieje ili kuonyesha alivyomkosea adabu dah Daniella jina km langu halafu kaleta upuuzi huu [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] so sad


mbya saana jaman
 
Mtu kama huyu usimuombee tuu aendelee kuchezewa na maplayer wenye mihogo
 
We itakuwa na bwawa kama ni pesa kamuombe baba yako nae ni mwanaume pambana na hali yako
 
Hapo namba 2 unge-bold, au ungeandika kwa herufi kubwa.
 
Du!! Povu hilo!!![emoji36][emoji36]
Hicho ndo kipimo cha mapenzi ya mwanamke aliye kwako sababu ya pesa!!! Mwanaume ukiwa huna kitu!!!
Matusi yote Na dharau utaonyeshwa. Ila baadhi ya wanawake wachache wenye true love ata ku encourage ili usikate tamaa Na chakula cha usiku akikupa kawa ilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu.
 
Allah amemuumba kila mmoja kivyake,kadri alivyoona inafaa lkn kimsingi wanawake wengi wa sasa "hawajitunzi" wengi wao wanaanza kale na mchezo wakiwa wadogo sana kwsbb ya kuiga na tamaa,matokeo yk binti mdogo unakuta kwa kipindi kifupi ametoa mimba 18,mabwana ambayo ameshakuwa hao mpk anakuja kuolewa ni 25,bado wengi wao wanatumia madawa haya ya kuzuia mimba unakuta maku yote Maji tupu hakuna "taste tena" halafu unalalamika wanaume wana vibamia wakati idadi ya wanaume walokutafuna ni wengi tena wa "size" mbalimbali
Ni kweli kabisa Allah huumba kila mmoja na maumbile yakee
 
Back
Top Bottom