We mwanaume unikome!

Sema tu huyo ni bahili lkn mbn bamia ndo mboga yangu tena azikome kabisa, huyu ana bwawa huyu
 
hahaha nakujua kwa bamia wewe !lol
Kwa matusi alopewa huyo kaka nimejihisi kuumia mpk chozi huyu Dada ana laana huyu humtaki si umuache hicho kibamia kimezaliwa na ke km yeye je yeye akizaa vidume vyenye nukta kbs dah yaani sielewi hata nimwambieje ili kuonyesha alivyomkosea adabu dah Daniella jina km langu halafu kaleta upuuzi huu [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] so sad
 


mbya saana jaman
 
Mtu kama huyu usimuombee tuu aendelee kuchezewa na maplayer wenye mihogo
 
We itakuwa na bwawa kama ni pesa kamuombe baba yako nae ni mwanaume pambana na hali yako
 
Hapo namba 2 unge-bold, au ungeandika kwa herufi kubwa.
 
Du!! Povu hilo!!![emoji36][emoji36]
Hicho ndo kipimo cha mapenzi ya mwanamke aliye kwako sababu ya pesa!!! Mwanaume ukiwa huna kitu!!!
Matusi yote Na dharau utaonyeshwa. Ila baadhi ya wanawake wachache wenye true love ata ku encourage ili usikate tamaa Na chakula cha usiku akikupa kawa ilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu.
 
Ni kweli kabisa Allah huumba kila mmoja na maumbile yakee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…