Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changu hukitaki..Pesa ingekuwepo kibamia kingevumiliwa
Chako sio kibamiaMbona
Changu hukitaki..
Acha tuuu mkuuu ....[emoji24] [emoji24] [emoji24] ..tutengenezeni pesa tuuuu .....unajua ndio maana Adam alimuita mkewe " Hawa"" ..yaaaan hawa wanawake hawa !!!!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Unapotangaza kibamia cha mtu JUA PIA UNATANGAZA UKUBWA WA PAPUCHI YAKO..!!!Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Baby na wewe utakujaga umwage sir zangu hadhalan hivi na matus juu kias hiki
Mara paaap....
Kwa sifa hizo atafute mgomba
We mbona unatutukana chapombe lakini tunavumilia? Tukimwachia Mungu usitulaumumaskini huyo mkaka sijui mbaba ! jaman angalien sana na matusi ya kuwatukna wanaume zenyu (kwanza kwann umtukane shost)? inimejiskia vby ! we umwache tu ukute atakutana na anayekiwezea kibamia kama kapeace ! naamini hujayajua mapenzi bado ! una kasafari karefu saana!
Ungehamia wapi na vyuma kukaza hizi ni kubanana humu humu malizia msingi huo wa jf.Hahaaaaaa JF sihami ndo kwanza nimeshaanza kuweka msingi[emoji1][emoji1][emoji1]