We mwanaume unikome!

We mwanaume unikome!

Kibamia maumbile kayaumba Mungu bwanako hakuyataka pesa kamwombe baba'ako shamba hayo mapenzi uliyoyataka si'ungemfundisha?
unamfundishaje na ushaambiwa kina pwaya hahhaah....kibamia kama sigara jamani hahahha
 
Jamaa kokote alipo mwambie aagize kinywaji nitalipa kwa mpesa,dawa ya mayatima vichwa maji kama huyu ni kupiga bure tu..
 
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Swali LA kwanza hakujaza form kuwa na kibamia hilo ni swala la Mungu
 
maskini huyo mkaka sijui mbaba ! jaman angalien sana na matusi ya kuwatukna wanaume zenyu (kwanza kwann umtukane shost)? inimejiskia vby ! we umwache tu ukute atakutana na anayekiwezea kibamia kama kapeace ! naamini hujayajua mapenzi bado ! una kasafari karefu saana!
Ukimpenda mtu kwel kwel unajifunza kustiliana mabaya na kubebana ktk madhaifu ya kila m1.. Ila hapa hakuna jamani!
 
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Ha ha ha watanzania wanaweuka siku iz!!.... Sasa cjui umekosea baada ya kumtumia msg mumeo ndo umepost!! ...maana ulivoandka kama taraka lakn ulivopost utafkir unamtumia admin wa JF ambaye huna namna ya kumfikishia ujumbe
 
Back
Top Bottom