Labda unatafuta gunia la chawa.. Ila pia ujue shetani mbaya nyie hapendi kuwaona wawili wapendanao wakifurahia maisha...[emoji16]1. Una miaka chini ya 35
2. Umeoa mke mzuri na mnapendana
3. Mna Afya njema
4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale
5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi
6. Sio matajiri ila pesa ya kubadilisha mboga na majukumu ya kijamii mnapata
7. Hamna ugonvi na majirani.
Sasa hapa ukichepuka unatafuta nini kama sio laana? Simaanishi ukikosa kati ya hivyo uchepuke, ila kuna mazingira hata ukichepuka dhambi lazima iongezeke
Hii kitu ya kupiga vitu bila sababu kuna siku niliangalia clips youtube nilicheka sana, hivi shida huwa nini?Kuchepuka sometimes ni kama ukiwa unatembea njiani ukakutana na kopo, unajikuta umelipiga tu bila hata sabab ya msingi
[emoji23]Hii kitu ya kupiga vitu bila sababu kuna siku niliangalia clips youtube nilicheka sana, hivi shida huwa nini?
Unakuta demu ni mzuri tu ila akiingia chooni utadhani amepewa oda ya Mbolea😒😒😒1. Una miaka chini ya 35
2. Umeoa mke mzuri na mnapendana
3. Mna Afya njema
4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale
5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi
6. Sio matajiri ila pesa ya kubadilisha mboga na majukumu ya kijamii mnapata
7. Hamna ugonvi na majirani.
Sasa hapa ukichepuka unatafuta nini kama sio laana? Simaanishi ukikosa kati ya hivyo uchepuke, ila kuna mazingira hata ukichepuka dhambi lazima iongezeke
Heeeeee??? Ndugu usiombe kukutana na mme au mke aliterithishwa umalaya na wazazi wake,hata atendewe nn atachepuka na akiamua atazaa kbs ili kuonesha hajali !!!!1. Una miaka chini ya 35
2. Umeoa mke mzuri na mnapendana
3. Mna Afya njema
4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale
5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi
6. Sio matajiri ila pesa ya kubadilisha mboga na majukumu ya kijamii mnapata
7. Hamna ugonvi na majirani.
Sasa hapa ukichepuka unatafuta nini kama sio laana? Simaanishi ukikosa kati ya hivyo uchepuke, ila kuna mazingira hata ukichepuka dhambi lazima iongezeke
Mapenz ni kuridhika tu, kuna watu hawana yote hayo alio yaweka mleta mada and still hakuna kati yao mwenye hulka ya usaliti hata kidogo. Inshort alivo vieleza sio sababu ya kutosaliti/kutochepuka.Mtu mzima na usmart wake hawezi akapiga teke kopo amelikuta barabarani,
Hayo hufanywa na Mtu mwenye utimamu wa mashaka.
Tumwambie ukweli au tumuache?Kuchepuka sometimes ni kama ukiwa unatembea njiani ukakutana na kopo, unajikuta umelipiga tu bila hata sabab ya msingi
Kamwambie DeepPond1. Una miaka chini ya 35
2. Umeoa mke mzuri na mnapendana
3. Mna Afya njema
4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale
5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi
6. Sio matajiri ila pesa ya kubadilisha mboga na majukumu ya kijamii mnapata
7. Hamna ugonvi na majirani.
Sasa hapa ukichepuka unatafuta nini kama sio laana? Simaanishi ukikosa kati ya hivyo uchepuke, ila kuna mazingira hata ukichepuka dhambi lazima iongezeke
[emoji2]Vina muda bas?
Huu ni uthibitisho ndoa inaongozwa na mwanamke na huyo mwanamke na master plan wa hiyo familia...kiufupi upo kwenye 18 za mwanamke.1. Una miaka chini ya 35
2. Umeoa mke mzuri na mnapendana
3. Mna Afya njema
4. Mna usafiri wenu wa kuwafikiaha hapa na pale
5. Mnaishi kwenu hamdaiwi kodi
6. Sio matajiri ila pesa ya kubadilisha mboga na majukumu ya kijamii mnapata
7. Hamna ugonvi na majirani.
Sasa hapa ukichepuka unatafuta nini kama sio laana? Simaanishi ukikosa kati ya hivyo uchepuke, ila kuna mazingira hata ukichepuka dhambi lazima iongezeke
Uko sahihi kabisa,Mapenz ni kuridhika tu, kuna watu hawana yote hayo alio yaweka mleta mada and still hakuna kati yao mwenye hulka ya usaliti hata kidogo. Inshort alivo vieleza sio sababu ya kutosaliti/kutochepuka.