Umesoma sehemu gani panasena "hatugombani" ?Huu ni uthibitisho ndoa inaongozwa na mwanamke na huyo mwanamke na master plan wa hiyo familia...kiufupi upo kwenye 18 za mwanamke.
Ninacho jua kwenye mapenzi ya kweli wivu haukosekani na Palipo na wivu vijiugomvi havikosi. Sasa unapo sema mkeo. Mnapendana hamgombani Napata mashaka...mzee hapo kuna mmoja anamuigizia mwenzie.....chunguza maana hakunaga mwanamke Asie na kashikashi kwenye mapenzi yawe ya ukweli yawe ya uongo
Ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuchepuka sometimes ni kama ukiwa unatembea njiani ukakutana na kopo, unajikuta umelipiga tu bila hata sabab ya msingi
We haujui utamu wa kupiga teke kopo wewe. Ile kitu ina addiction.Mtu mzima na usmart wake hawezi akapiga teke kopo amelikuta barabarani,
Hayo hufanywa na Mtu mwenye utimamu wa mashaka.
Uko sahihi kabisa,
Kuchovya chovya ni hulka ya Mtu haijalishi yupo kwenye maisha mazuri ama mabaya.
Mbona hujataja ishu ya kutoshelezana kingono? Hi ndio habara yenyewe Sasa maana unaweza ukampa vyote mwenzio ila ukashindwa kumtosheleza kingono, na hapa ndipo uchepukaji unapoanzia