We mwenyewe hembu fikiria

We mwenyewe hembu fikiria

akili ya binadamu haipendi chochote kwa asilimia mia. ipo kimkakatii sana. kukiwa na mvuruugano itaangazia amani na kinyume chake pia ni ukweli. Sema hii mijanamke ya sasa (baada ya kusoma human right) imekengeuka balaa. Mwanamke mwerevu ataitunza ndoa yake__ imeandikwa ivyo sehemu flani. Men is always right. mwanaume husaishwa na mwanaume mwenzie/wenzie. Dunia ng'ari ng'ari.
 
Huu ni uthibitisho ndoa inaongozwa na mwanamke na huyo mwanamke na master plan wa hiyo familia...kiufupi upo kwenye 18 za mwanamke.


Ninacho jua kwenye mapenzi ya kweli wivu haukosekani na Palipo na wivu vijiugomvi havikosi. Sasa unapo sema mkeo. Mnapendana hamgombani Napata mashaka...mzee hapo kuna mmoja anamuigizia mwenzie.....chunguza maana hakunaga mwanamke Asie na kashikashi kwenye mapenzi yawe ya ukweli yawe ya uongo
Umesoma sehemu gani panasena "hatugombani" ?
 
Mbona hujataja ishu ya kutoshelezana kingono? Hi ndio habara yenyewe Sasa maana unaweza ukampa vyote mwenzio ila ukashindwa kumtosheleza kingono, na hapa ndipo uchepukaji unapoanzia

Hapa ndo kwenye mshono
 
Back
Top Bottom