Uchaguzi 2020 We need a President who will restore Law, Order and Constitutional Rights

Hapa umeonyesha udhaifu mkubwa na shida kubwa sana tuliyo nayo. Huwezi kusema kusaidia wananchi wawili watatu mbele ya camera na kuwapatia pesa ndo umesaidia Taifa.

Je unafahamu wenye shida kama huyo mmoja ni wangapi? Na wao wakisubiri rais, tumuache huyu kwa miaka mingapi ili aweze kumaliza hizo shida?

Je Ndege zinasaidia vipi kwenye viwanda?
 
Kila mtu anaakili zake so alipogombea mkumuona hafai saizi mna bwabwaja wanadamu kwa shida haziiishagii.
 
I need a president who will ensure a new constitution is in place. No law and order is possible under the current constitution.
 
I need a president who will ensure a new constitution is in place. No law and order is possible under the current constitution.
But we need order and constitutional rights to have a free and fair elections.
 
But we need order and constitutional rights to have a free and fair elections.
Yaani mmechelewa kulia subiri 5 years end then start post like this but now you are blood pressure will go high and its maximum not minimum
 
Nani anabwabwaja kama siyo wewe?
Utaona raisi ninani ??
Nabwabwaja now but you will be on tears soon.
Unadhano watu wanapenda kusema I LOVE CCM .
sio wote ila ni mimi why rangi ya kijani .
Niambie huko chichim nani ananjaa .
Tuambie .
Mf.hai wema sepetu alijitoa chichim akaanza kuhaha na sasa yupo chichim karudi kwa magoti anahela mpaka ameeenda kujipunguza aendelee kuishi kwa chacha je jokate mwegelo .
Hiko chama kina tunza vizuri eti.

Chama chenu chadema mnanyonya hadi damu nusu mumue kwanjaa wema sepetu.
Mf. Mdee angeamua kuwa chichim angeshapata nyama kidogo angeng'aa sasa kila siku majanga kwake.
Jingine tundu bado hatoki huko chadema baada ya kupewa mikosi .

Chichim ndio chama cha raha unavaa kijani tu unakula sio unahongwa hapana nyota inang'aa. Madili yanasomeka .

Chadema brown meaning kavu kavuu .
Nyekundu yaani wao ni wanyonyaji .
Bora kabwe ndio nafuu kwa uongozi anavutia .

Watu huangalia nani anafaa sio anapewa tu uongozi .
 
You’re truly a Unique Flower 🌺😀😎🤦🏾‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…