We need Babra Gonzales kwenye uongozi wa Simba

We need Babra Gonzales kwenye uongozi wa Simba

Action and Reaction

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
1,438
Reaction score
1,496
Uongozi wa Simba ni wa hovyo maana umejaza usajili wa 10% tofauti na huu mwamb Eng. Hersi ambaye akiona Mchezaji mzuri anampandia ndege pasipo hayo ma 10%.

Babra alikuwa anawamotivate wachezaji Sana na sio hawa wazee.

Uongozi ukishajaaa wazee ni tatizo!
 
Uongozi wa Simba ni wa hovyo maana umejaza usajili wa 10% TOFAUTI na huu mwamb Eng. Hersi ambaye akiona Mchezaji mzuri anampandia ndege pasipo hayo ma10%.... Babra alikuwa anawamotivate wachezaji Sana na sio Hawa wazee.... Uongozi ukishajaaa wazee ni tatizo!
Kwani Mangungu ana shida gani?
 
Back
Top Bottom