Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Uongozi wa Simba ni wa hovyo maana umejaza usajili wa 10% tofauti na huu mwamb Eng. Hersi ambaye akiona Mchezaji mzuri anampandia ndege pasipo hayo ma 10%.
Babra alikuwa anawamotivate wachezaji Sana na sio hawa wazee.
Uongozi ukishajaaa wazee ni tatizo!
Babra alikuwa anawamotivate wachezaji Sana na sio hawa wazee.
Uongozi ukishajaaa wazee ni tatizo!