We unapenda akuiteje?

We unapenda akuiteje?

Mimi aniite Mme wanguuuu
WJ%20Paul~01.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thread hii imenikumbusha wakati nipo chuo,jamaa yangu aliseviwa "kigari" na demu wake,baada ya mshikaji kujua alidadisi kwa dem bila jibu la maana,baadae alikuja kugundua baada ya kunyetishiwa na mmoja wa mabest wa demu wake kuwa jina hilo "kigari" ni ufupisho wa maneno "kigari cha mshahara", [emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thread hii imenikumbusha wakati nipo chuo,jamaa yangu aliseviwa "kigari" na demu wake,baada ya mshikaji kujua alidadisi kwa dem bila jibu la maana,baadae alikuja kugundua baada ya kunyetishiwa na mmoja wa mabest wa demu wake kuwa jina hilo "kigari" ni ufupisho wa maneno "kigari cha mshahara", [emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahahahhahaa
 
Ambao hatuna tunasoma commets tu
 
Thread hii imenikumbusha wakati nipo chuo,jamaa yangu aliseviwa "kigari" na demu wake,baada ya mshikaji kujua alidadisi kwa dem bila jibu la maana,baadae alikuja kugundua baada ya kunyetishiwa na mmoja wa mabest wa demu wake kuwa jina hilo "kigari" ni ufupisho wa maneno "kigari cha mshahara", [emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah mungine alisaviwa "Umeme"
Siku alipokuja kujua ndo ulikua mwisho wa kukanyaga chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom