patakuwa patamu mtukama RA atembele Bajaji si mtampiga mawe...Kuna waziri alipendekeza wanunue yenye thamani ya mil 80 badala ya 100 kama sikosei kwamba watakuwa wameokoa mil 20@ na kupitisha msako kwa magari yaliyokuwa wameyafanya yao wakati ya serikali walimnunia ikawa bifu mpaka leo..sasa ukiwaambia watembelee bajaj si watakuua hata maiti yako isioneka