Leo nataka kushare idea na nyinyi katka habar za mitandaoni
Kuna kampuni mbalimbali kama eBay, Ali baba na Amazon unaweza kufanya manunuzi suala na kuwa wanahitaji uwe na kadi ya benk yaani (visa au MasterCard )
#Swali lang ni kuwa je kuna kampuni ambayo unaweza kufanya manunuzi kwa njia nyingne tofauti na card ya benki???
Tumia Virtual card mfano mpesa MasterCard au Airtel MasterCard...mimi nakushauri utumie Airtel MasterCard nirahidi salama.pesa inakatwa moja kwa moja toka Airtel money.
Tumia Virtual card mfano mpesa MasterCard au Airtel MasterCard...mimi nakushauri utumie Airtel MasterCard nirahidi salama.pesa inakatwa moja kwa moja toka Airtel money.