Jordi alfred
Member
- Oct 24, 2019
- 20
- 5
Habarin jaman natumahi kila mmoja yupo okay
Leo nataka kushare idea na nyinyi katka habar za mitandaoni
Kuna kampuni mbalimbali kama eBay, Ali baba na Amazon unaweza kufanya manunuzi suala na kuwa wanahitaji uwe na kadi ya benk yaani (visa au MasterCard )
#Swali lang ni kuwa je kuna kampuni ambayo unaweza kufanya manunuzi kwa njia nyingne tofauti na card ya benki???
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nataka kushare idea na nyinyi katka habar za mitandaoni
Kuna kampuni mbalimbali kama eBay, Ali baba na Amazon unaweza kufanya manunuzi suala na kuwa wanahitaji uwe na kadi ya benk yaani (visa au MasterCard )
#Swali lang ni kuwa je kuna kampuni ambayo unaweza kufanya manunuzi kwa njia nyingne tofauti na card ya benki???
Sent using Jamii Forums mobile app