Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Napenda niwapongeze AirTanzania kwa website mpya walau inayo kidhi mahitaji ya wateja na hata mwonekano mmepatia.
Kitengo cha ICT kinaonekana kimepata mtu makini kwa kuwa wasikivu.
Mkiwekeza kwenye ICT mtakua mna nia njema ya kulifanya shirika liwe na uahindani..
Wadau tunafurahi tunapo ona mambo mazuri kama haya yanafanyika.
Big up DG na timu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitengo cha ICT kinaonekana kimepata mtu makini kwa kuwa wasikivu.
Mkiwekeza kwenye ICT mtakua mna nia njema ya kulifanya shirika liwe na uahindani..
Wadau tunafurahi tunapo ona mambo mazuri kama haya yanafanyika.
Big up DG na timu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app