Website ya Jeshi la Polisi imeboreshwa na nimeipenda

Website ya Jeshi la Polisi imeboreshwa na nimeipenda

flamini

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
533
Reaction score
586
Waungwana Hamjambo?

Website ya Jeshi letu pendwa la Polisi imependeza. Kama mtembeleaji na Mdau wa Jeshi letu Leo nimetembelea nimeona mabadiliko.

Kwanza Heko Kwa graphic designer Kwa rangi na boldness of it. Pia nimeipenda walivoweka an update feed Kwa post a recent video of police force activities kama uapisho,ustaafu na sherehe mbali mbali ndani ya Jeshi. Pia huduma muhimu zimewekwa Kwa mazingira rahisi na kusomeka kwenye Tovuti yao.

Kwa progress hii naamini baadae wataongeza lost and found service, sehemu ya taarifa ya siri iwe na feedback ya mtoaji taarifa kuhusu taarifa yake pia kuwepo na sehemu ya Elimu kuhusu mambo mbali mbali ya kijamii.

Jeshi letu Lina uwezo mkubwa wa kuajiri content creator ambaye anaweza akaelimisha na kuchapisha habari kuhusu Maisha yetu ya kutanzania yanayotuzunguka kisaikolojia na filosofia zaidi.
 
Waboreshe na utendaji kazi wao Kwa mujibu wa sheria.waache kuwateka watanzania.
 
Waungwana Hamjambo?

Website ya Jeshi letu pendwa la Polisi imependeza. Kama mtembeleaji na Mdau wa Jeshi letu Leo nimetembelea nimeona mabadiliko.

Kwanza Heko Kwa graphic designer Kwa rangi na boldness of it. Pia nimeipenda walivoweka an update feed Kwa post a recent video of police force activities kama uapisho,ustaafu na sherehe mbali mbali ndani ya Jeshi. Pia huduma muhimu zimewekwa Kwa mazingira rahisi na kusomeka kwenye Tovuti yao.

Kwa progress hii naamini baadae wataongeza lost and found service, sehemu ya taarifa ya siri iwe na feedback ya mtoaji taarifa kuhusu taarifa yake pia kuwepo na sehemu ya Elimu kuhusu mambo mbali mbali ya kijamii.

Jeshi letu Lina uwezo mkubwa wa kuajiri content creator ambaye anaweza akaelimisha na kuchapisha habari kuhusu Maisha yetu ya kutanzania yanayotuzunguka kisaikolojia na filosofia zaidi.
Kwa hili la tovuti wapewe kongole, kwakweli inaendana na zama za sasa
 
Website haisaidii bali utendaji, madereva bodaboda wanavamiwa na kuuwawa na kuporwa pikipiki huku Songea wafanye kazi
 
Kesi ya yule bibi Moro aliyeuwawa wa kilakala mpaka leo kimya. Yule bint wa benki kibaha mpaka leo hakuna majibu. Soka kimya, waboreshe na hayo majukumu yao ya msingi kipelekezi basi.
 
Waungwana Hamjambo?

Website ya Jeshi letu pendwa la Polisi imependeza. Kama mtembeleaji na Mdau wa Jeshi letu Leo nimetembelea nimeona mabadiliko.

Kwanza Heko Kwa graphic designer Kwa rangi na boldness of it. Pia nimeipenda walivoweka an update feed Kwa post a recent video of police force activities kama uapisho,ustaafu na sherehe mbali mbali ndani ya Jeshi. Pia huduma muhimu zimewekwa Kwa mazingira rahisi na kusomeka kwenye Tovuti yao.

Kwa progress hii naamini baadae wataongeza lost and found service, sehemu ya taarifa ya siri iwe na feedback ya mtoaji taarifa kuhusu taarifa yake pia kuwepo na sehemu ya Elimu kuhusu mambo mbali mbali ya kijamii.

Jeshi letu Lina uwezo mkubwa wa kuajiri content creator ambaye anaweza akaelimisha na kuchapisha habari kuhusu Maisha yetu ya kutanzania yanayotuzunguka kisaikolojia na filosofia zaidi.
hao wadudu wazur unapita tu unayaona majengo yao website yao km ivo ila siku ukijaa kweny 18 zao utawachukia
 
Upolisi sio muonekano wa website, au nguo nzuri. Upolisi ni urafiki na raia sasa ikishafikia hatua raia anamuogopa polisi au anamkwepa basi polisi ni adui.
 
Back
Top Bottom