Website ya TFF

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
wandugu nilikuwa nataka kuangalia ratiba za mechi wikiendi hii. nimeenda tff.or.tz nimekasirika sana. website inahabari za zamani za mtani jembe. na kwenye recent results wameweka mechi ya azam na prisons ya tarehe 22 february. hivi wangekuwa serious na hii web si wangeingiza pesa?.

BTW mwenye kujua ratiba naomba anijuze au hakuna mechi?
 

Kama Jambo Rahisi Tu La Kupanga Fixture Ya Mechi Za Ligi Kuu Kunawashinda Vipi Waweze Kuwa Na Hiyo Website? Una Makusudi Mno Mkuu.
 

Tff ni wazembe hawajielewi wanapitwa mpaka na website za nje,
Angalia www.flashscore.com utapata ratiba za mechi za bongo
 

ratiba muulize kaburu wa simba ndio mpanga ratiba
 
tff hawana website ya kueleweka
1.elimu ndogo ya viongozi kuhusu ''mtandao''
2.kizazi kinacho ongoza tff ni kile cha 60's
3.ufisadi/wizi/ubadhirifu
 
tff hawana website ya kueleweka
1.elimu ndogo ya viongozi kuhusu ''mtandao''
2.kizazi kinacho ongoza tff ni kile cha 60's
3.ufisadi/wizi/ubadhirifu
hii inatosha kabisa kumuondoa kazini afisa habari. wanipe niiendeshe nitaifa itembelewe zaidi tz. incompetence zingine hazivumiliki.
 
Jamal Malinzi boresheni website yenu. juzi mmeandika simba ana pointi 30 na mbeya city 24. harafu habari zenu zipo outdated sana. mnatia aibu. hata ratiba hamna.
 
Last edited by a moderator:
TFF nipeni kazi ya ku-update habari zenu mtandaoni sitaki kazi ya kuongea na waandishi wa habari
 
Moja ya sifa ya ziada iliyompa kazi Baraka Kizuguto kuwa afisa habari wa TFF, walidai jamaa ni "gwiji" wa masuala ya website, sasa yapata miezi mitatu, hakuna jipya..
Je Baraka ame_fail katika utendaji wake au kuna mizengwe anawekewa asitimize majukumu yake ipasavyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…