uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Tume ya uchunguzi iundwe waende Brazil kukusanya maoni Kwa nn website Ina taarifa za zaman
Karibu ofisiniMwanasheria umekuwa adimu kijiweni
Karibu ofisini
Hapana itifqk haisem hivyo.ni lazima wataalam waende.ebu tuache sihasa kwenye utaaalamHamna haja ya tume, aliyewapa taarifa yupo humu anatakiwa arekebishe tu mara moja ili tusiingie gharama zisizokuwa za msingi
Website za mikoa mfano tabora,mor , front page zinahabar za mwaka 2019, Yan mpaka nashangaaTanzania hatuna hela za ku update website? Serikali haina Web developers?
Hujamwelewa, alitaka kutuarifu kwamba haiko up to date. Sarcasm hiyoNini kipya kilichokuvutia hapo mwenzetu?
Watalaamu 53 (wasafiri mpaka Brazil) wafanye uchunguzi yakinifu Kwa kutumia (hadidu za rejea) ili kupata taarifa kamiliHapana itifqk haisem hivyo.ni lazima wataalam waende.ebu tuache sihasa kwenye utaaalam
Tume iundwe ikachunguze chanzoWebsite za mikoa mfano tabora,mor , front page zinahabar za mwaka 2019, Yan mpaka nashangaa
Pele homeboyRIP Pele
Anapeleka ujumbe wa kuchelewa ku update websiteNini kipya kilichokuvutia hapo mwenzetu?
Mtoa post au update haijafanyikaAdelardus Kilangi ndie balozi huko ila kwenye website wanaeleza ni Nchimbi.
Hawa jamaa wa IT wa wizara wamelala po