ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Jamani kama mnavojua leo ni UEFA Champions League tulio wengi tunapenda mechi za Ulaya tatizo DStv hatuna na gharama kubwa kulipia.
Mwenye kujua websites yenye kuonyesha live mpira msaada tafadhali na mechi ndo saa 2245:smile-big::smile-big:
Mwenye kujua websites yenye kuonyesha live mpira msaada tafadhali na mechi ndo saa 2245:smile-big::smile-big: