ahaaaa kitimoto nimeacha nilipata mchepuko wa kiislam shoga niliswalishwaje? ahaaa kitimoto sio nzuri kiivo wala sili tena najisi ile
Hainaga uchungaji hiyo section ili kumpunguza kuwashwashwa huyo mama mchungaji lazima kondoo ajipitishe kwa mchungaji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahah, sasa baba mchungaji kuwa si anaweza akawa na utaratibu mgumu kwa mfano, kabla ya "kuduu" mfanye maombi kwanza kuombe tendo pendwa! hahahahhaha ila kapeace wewe ahaahah
hahhahahhahhah😀😀😀😀wewe unaweza kupanda zuberi na kanda mbili moja kufata bia dar wewe .ahaaa yaani upo kama maza wangu sio mlevi ila halali bila chupa moja aisee
Kunywa na Robertson iko vizuri hahahaahahhah100% huyu bidada hanaga makuu yeye km ulivyosema! yaan haon shida kukutoa out aisee !ni kweli wasokunywa huwa ipo nshida sehem !nami huwa simtupi aisee !hatutupan sema mwenzangu daily lazima atoe lock ila ni peace mbayaaaa!
duh kume hunywag? safi ! mie nastua stua ila nipo fit tu sema sitak ziniendeshe !ila nikiamua ah chupa la dompo nalifuta freshhhhhhhhhhyyy,,nw nimehamia kwenye 'desperado' very tastey !jaribu sku 1 !nimeacha smirnof blak ice nimemwachia Maserati
Anashindwa kwenda na mazingira kila muda anaona yuko church na wauminihuyo mama zero brain,maswala ya fedha unaleta uchungaji
wow! kumbe huwezi kula hiyo kitu! ila sio mbaya unajiepusha na minyoohahaha bas usilogwe kujifunza tena !kama mie nilivyoshindwa kitimoto!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]hahahah, kwani wewe ulivyoweka thread hapa kuwa bosi wako ALIKUBAKA ofisini kwake, huyo bosi yumo humu JF tehe tehe
hahhah, mialiko ya hivyo naipenda sanaahahhahaha huyo ndo NAHUJA !jana kuna jirani yangu akanijia kwangu saa 1 akasema yupo bored twende tukanywe pombe !hhaha nilijikuta nashangaa whaaat !akasema yes twende turud 5usk !wote hom tulicheka ! hahah mna raha mnaotafuta furaha!ila ukiolewa ndo ntolee shogaa !enjoy to the max!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umejuaje kama aligonga kavu????hhahaahha, ushauri wakati tayari ulishagonga tena "kavu" hahahhahaha
angeniacha nifaidi kama wewe bnaAlikusaidia sana! hahahahah
Utakuwa ulienjoy sana na huo mchepuko wa kiislamu, maana wanaume wa dini ya kiislamu wanajua sana MAHABA na MAPENZI wako vizuri anakupa penzi hadi unaona kama dunia inaangalia chini juuahaaaa kitimoto nimeacha nilipata mchepuko wa kiislam shoga niliswalishwaje? ahaaa kitimoto sio nzuri kiivo wala sili tena najisi ile
Ni kikundi cha akina mama cha ujirani mwema!Hivi ilikuwaje mpaka mkawa na Msabato kwenye kikundi chenu?, kweli mna moyo mgumu sana, hao wanajuana wao kwa kwao tu, unless mumpate Msabato mwenye uelewa na uwezo wa kuwakubali na kuwavumilia wenzie,
hahahahahaha una save hela zako hata hivyoangeniacha nifaidi kama wewe bna
hajui lolote ndo maana nilimuachaUtakuwa ulienjoy sana na huo mchepuko wa kiislamu, maana wanaume wa dini ya kiislamu wanajua sana MAHABA na MAPENZI wako vizuri anakupa penzi hadi unaona kama dunia inaangalia chini juu
nanunulia tu viatu ,jana nilivaa kiatu cha laki aaaahhahahahahaha una save hela zako hata hivyo
Inakuwa ngumu kumtoa maana hajaenda kinyume na masharti ya kikundi, mikutano anahudhuria, ada analipa, akichelewa kulipa SDA wenzio wanamlipia ila kuwarudishia ndio inakuwa mbinde. Sasa sio rahisi kumtoa kwenye kikundi eti kwa kwakuwa ana deka au anatuzonga tukinywa pombe hahahaha ngumu sana hiyo Smart911
aisee cha laki moja! kina bundle la MB za mwezi mzima au ni kiatu tu! hahahahaha hongera sana rafiki yangunanunulia tu viatu ,jana nilivaa kiatu cha laki aaaah