Sio mbaya, sio gari tu bali hata funiture huwa tukizichoka tunabadilisha, tunatoa cha zamani maana kimetukifu, tunaweka kipya, kibovu changu kipya cha mnyonge wangu, simba akishiba minofu fisi anaburuta mifupa. Upohapo?Wewe ukisema wa nini na kutema shombo kwake
kuna watu wanalia kumpata mwaka mzima
wametega ndoano zao,wewe unampaka shombo
wenzio wamepose na mataulo wanasubiri umuache
wao wampokee,wamfute shombo wampe mahaba
hadi shetani aogope. Mifupa kwa binadamu sio chakula ila kwa mbwa ni
kama Pizza ya Steers...
Wakatiwewe unamuona kimeo kuna watu wana
sababu Bilioni moja za kumpenda na kumpa yote
kama Coca Cola walivyo na sababu bilioni 1 za
kuithamini Africa..
Maumivu Yakizidi Muone Daktari
Mkimegewa msije hapa kulia liaSio mbaya, sio gari tu bali hata funiture huwa tukizichoka tunabadilisha, tunatoa cha zamani maana kimetukifu, tunaweka kipya, kibovu changu kipya cha mnyonge wangu, simba akishiba minofu fisi anaburuta mifupa. Upohapo?
Hapana ni haki yake jukwaa halijaweka limit ya kuanzisha nyuzi...kumbuka kila mtu ana kipawa chakeWe jamaa kuna mashindano ya kuweka nyuzi? acha ulimbukeni bana.