STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Wewe ukisema wa nini na kutema shombo kwake
kuna watu wanalia kumpata mwaka mzima
wametega ndoano zao,wewe unampaka shombo
wenzio wamepose na mataulo wanasubiri umuache
wao wampokee,wamfute shombo wampe mahaba
hadi shetani aogope. Mifupa kwa binadamu sio chakula ila kwa mbwa ni
kama Pizza ya Steers...
Wakatiwewe unamuona kimeo kuna watu wana
sababu Bilioni moja za kumpenda na kumpa yote
kama Coca Cola walivyo na sababu bilioni 1 za
kuithamini Africa..
Maumivu Yakizidi Muone Daktari
kuna watu wanalia kumpata mwaka mzima
wametega ndoano zao,wewe unampaka shombo
wenzio wamepose na mataulo wanasubiri umuache
wao wampokee,wamfute shombo wampe mahaba
hadi shetani aogope. Mifupa kwa binadamu sio chakula ila kwa mbwa ni
kama Pizza ya Steers...
Wakatiwewe unamuona kimeo kuna watu wana
sababu Bilioni moja za kumpenda na kumpa yote
kama Coca Cola walivyo na sababu bilioni 1 za
kuithamini Africa..
Maumivu Yakizidi Muone Daktari