Jaman unahitaji kujuana nini sasa? si mwanamke anauke na mimi mwanaume ninaume kujuana nini tena?*Starehe zitakuponza,itakwaje ukutane na mtu leo,hujui tabia yake,hajui yako,hamfahamiani na kuanza malavidavi leo?wangapi uliowapata kwa style hiyo?nakushauri kama umeamua tafuta wale wa kuwanunua ili kuokoa mda.
Nina imani nitapata tu!
hongera ujaribu na ile kitu ya ivuga!!!!tiGO express yourself!!!!!Update.
Nimepata tayari!
Nina imani nitapata tu!
hongera ujaribu na ile kitu ya ivuga!!!!tiGO express yourself!!!!!
kila mkoa utakaokuwa unaenda utakuwa unatafuta! Mmh! Unajiaibisha.Update.Nimepata tayari!