nimekiangalia jana nadhani ndio mara yangu ya kwanza ila nadhani sitarudia tena.
Hadi wenzie wakawa wanampiga madongo sababu wamechoka na ki-english chake.
Anawakatiza wenzie wanaongea utadhani wanapiga story wakati wako kwenye kipindi na wanachoongea inabidi kieleweke na sie watazamaji wao.
nimekiangalia jana nadhani ndio mara yangu ya kwanza ila nadhani sitarudia tena.
Hadi wenzie wakawa wanampiga madongo sababu wamechoka na ki-english chake.
Anawakatiza wenzie wanaongea utadhani wanapiga story wakati wako kwenye kipindi na wanachoongea inabidi kieleweke na sie watazamaji wao.
Afadhali nimepata pa kutolea hili dukuduku langu,tokea hicho kipindi kianze,wakakikatiza (nilikua sikioni muda flani hivi) leo ndio nimeweza kukiangalia chote kwenye marudio yake.
Huyo mdada anakera sana sijui anaringia nini mbaya kama nini.
Na hivi yeye ndiye aliyemuhoji T.I alivyokuja....mbona tutakoma mwaka huu!
Sikiangalii tena!!!!
anapenda aongee yeye tu hata kama hana cha kuongea