Weekend hii upo wapi na unafanya nini

Lady of Destiny1

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2019
Posts
588
Reaction score
851
Baada ya mihangaiko ya week Leo naamini umepata wasaha wa kupumzika ,wapo ambao wapo nyumbani,wengine bar, wengine kanisani wengine wamelala toka asubuhi wengine vijiweni

Mwenzenu toka asubuhi nipo home kupika, kufua, na usafi wa jumla mida hii nipo mahali natengeneza kucha


#Tuambie upo wapi na unafanya nini

Wa makao makuu Kama Kuna anayeenda mnadani (kula nyama) anijuze

..
 
Geto natombana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…