Lady of Destiny1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 588
- 851
Baada ya mihangaiko ya week Leo naamini umepata wasaha wa kupumzika ,wapo ambao wapo nyumbani,wengine bar, wengine kanisani wengine wamelala toka asubuhi wengine vijiweni
Mwenzenu toka asubuhi nipo home kupika, kufua, na usafi wa jumla mida hii nipo mahali natengeneza kucha
#Tuambie upo wapi na unafanya nini
Wa makao makuu Kama Kuna anayeenda mnadani (kula nyama) anijuze
..
Mwenzenu toka asubuhi nipo home kupika, kufua, na usafi wa jumla mida hii nipo mahali natengeneza kucha
#Tuambie upo wapi na unafanya nini
Wa makao makuu Kama Kuna anayeenda mnadani (kula nyama) anijuze
..