Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Daaah! Hahaha sio fairSafi sana mkuu, kumbuka maisha ya dunia ni mafupi na hizo mboga mboga utaziacha.........toka shabani ukale bata
Ungetupatia ka ID ungekuwa umefanya vizuriNipo na mtoto mkali sana toka jf, sitaki utani mimi, nimeiacha pombe, siendi disco, situmii madawa...naachaje watoto wakali, hiyo ndio pombe yangu! Come join us pls!!
hao jamaa zako hawana pa kwenda?Weekend nitakuwa kijiweni napiga story na jamaa zangu.
ha ha ha h umewajuaje mkuu?Ila JF ina watoto wakali sana aisee.
Sema tu mimi huwa sipendi kuwaongelea ila JF ni moto sana aisee
Ni siri yangu mkuu. Mimi ni wanaume kifua, ndio maana hat kule kwenye kula kimasihara huwezi kukuta stori yangu kuleha ha ha h umewajuaje mkuu?
Angalia wasikuharibie wkend,kwa sababu ukiliwa hapo lazima utoke na majonziWeekend hii nitakuwepo kwenye jengo la kubet. πππ
Huo sio uzalendo bali ni ubinafsi; nenda mtaa wa pili hapo tafuta kampaniNipo tu peke yangu,hapa najiandaa kwenda jogging.
Nimekuja na Punda hapa maana kiasi nachotaka kuondokanacho leo sitaweza kubeba kabisa punda ndioatabeba π π π πAngalia wasikuharibie wkend,kwa sababu ukiliwa hapo lazima utoke na majonzi
Sipo hivo mkuu.Hapa ni ndani tu na nikitoka ni kukimbia jogging tuHuo sio uzalendo bali ni ubinafsi; nenda mtaa wa pili hapo tafuta kampani
Kazi na bata mkuubata kwanza,mengine baadaye
ha ha ha ha mpira ni dakika 90 tu,hayo mengine ni kujimwambafai tuNimekuja na Punda hapa maana kiasi nachotaka kuondokanacho leo sitaweza kubeba kabisa punda ndioatabeba π π π π
nimeweka dau mpaka mashine imegoma.ha ha ha ha mpira ni dakika 90 tu,hayo mengine ni kujimwambafai tu
Kukuambia tu "mtoto mkali toka jf" inatosha mkuu.Ungetupatia ka ID ungekuwa umefanya vizuri
Hilo haliwezi kutokea kabisa.Angalia usije ukampandisha cheo
Wakifika maskani tayari wamepata sehemu ya kwenda.hao jamaa zako hawana pa kwenda?
huo ni ubinafsi mkuuMe, myself and I.
huo ni ubinafsi mkuu