Weekend hii

Nikupe ofa ? Maana kuna dada mjinga nimempa ofa nikamwambia achukue bajaji aje, eti ananiambia yeye sio wala daraja la bajaji. Nimemjibu " hataiona pepo "
Nipe mkuu😚😚huyo aliyekataa daraja la bajaji hatoiona pepo wala kimbunga😊😊
 
Sijaacha wala kuacha na huyo wa kuachana nae sina.nafikiri ni kujichanganya tu mkuu wangu ruby garnet
 
Sasa hivi nasongesha na wanaojielewa
Hilo ndo la msingi chief.maisha yenyewe haya mtu ankuletea kuneng'eneka...unamuwekea tinted za boda mpka ananyooka.πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Sijaacha wala kuacha na huyo wa kuachana nae sina.nafikiri ni kujichanganya tu mkuu wangu ruby garnet
Nami pia huwa nakuwa kwenye pindi kama hicho, dawa yangu huwa nachukuwa wine, nyama choma najifungua chumbani na mziki mkubwa kwa raha zangu. Nasahau kila kitu. Weka chini shida kisha mbanjuka tu
 
Nami pia huwa nakuwa kwenye pindi kama hicho, dawa yangu huwa nachukuwa wine, nyama choma najifungua chumbani na mziki mkubwa kwa raha zangu. Nasahau kila kitu. Weka chini shida kisha mbanjuka tu
Mbn kama tunakaribia kufanana kwenye hizo sifa aiseeh...

Itabidi mwisho wa mwezi nikatize pale Mohas hakuna namna..we only livu once πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚πŸ₯‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…