Weekend hii

Weekend hii

Nikupe ofa ? Maana kuna dada mjinga nimempa ofa nikamwambia achukue bajaji aje, eti ananiambia yeye sio wa daraja la bajaji. Nimemjibu " hataiona pepo "
Ulifanya vizuri kuachana naye!

Haya maneno ya shombo nimekutana nayo jana tu mchana! Nampigia simu namwambia chukua Pikipiki au bajaji ili uwahi eneo la tukio, akanijibu yeye siyo wa hadhi hiyo! Nikamwambia bhaaasi! Subiri wa hadhi yako!

Akanipigia simu saa mbili eti anataka aje! Nilimjibu kwa ujasiri na kujiamini kwamba; "Unahisi toka saa 7 mchana hadi saa hizi saa mbili, sijapata kampani"?
 
Ulifanya vizuri kuachana naye!

Haya maneno ya shombo nimekutana nayo jana tu mchana! Nampigia simu namwambia chukua Pikipiki au bajaji ili uwahi eneo la tukio, akanijibu yeye siyo wa hadhi hiyo! Nikamwambia bhaaasi! Subiri wa hadhi yako!

Akanipigia simu saa mbili eti anataka aje! Nilimjibu kwa ujasiri na kujiamini kwamba; "Unahisi toka saa 7 mchana hadi saa hizi saa mbili, sijapata kampani"?
[emoji23][emoji23][emoji23], makamanda tupo wengi.. !!
 
Ulifanya vizuri kuachana naye!

Haya maneno ya shombo nimekutana nayo jana tu mchana! Nampigia simu namwambia chukua Pikipiki au bajaji ili uwahi eneo la tukio, akanijibu yeye siyo wa hadhi hiyo! Nikamwambia bhaaasi! Subiri wa hadhi yako!

Akanipigia simu saa mbili eti anataka aje! Nilimjibu kwa ujasiri na kujiamini kwamba; "Unahisi toka saa 7 mchana hadi saa hizi saa mbili, sijapata kampani"?

Dah
 
Ulifanya vizuri kuachana naye!

Haya maneno ya shombo nimekutana nayo jana tu mchana! Nampigia simu namwambia chukua Pikipiki au bajaji ili uwahi eneo la tukio, akanijibu yeye siyo wa hadhi hiyo! Nikamwambia bhaaasi! Subiri wa hadhi yako!

Akanipigia simu saa mbili eti anataka aje! Nilimjibu kwa ujasiri na kujiamini kwamba; "Unahisi toka saa 7 mchana hadi saa hizi saa mbili, sijapata kampani"?
Wewe ni kiboko aiseehkha!!umemkata kilimi choteeee
 
Back
Top Bottom