Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi ya Simba vs AL Ahly imeshazoeleka ndio maana haizungumziwi sanaMakolo yanacheza ijumaa lakini wamegoma kabisa kuizungumzia mechi yao.
Wapo bize kuangalia mazoezi na kununua jezi za mtumba za mamelodi.
Mimi naona kilichozoeleka ni Ahly kumtoa simba.Mechi ya Simba vs AL Ahly imeshazoeleka ndio maana haizungumziwi sana
Sijui watabisha nnSimba watabisha
Tabu sanaMakolo yanacheza ijumaa lakini wamegoma kabisa kuizungumzia mechi yao.
Wapo bize kuangalia mazoezi na kununua jezi za mtumba za mamelodi.
Hahahahaaaile nyingine sio mechi ni bali kukamilisha tu ratiba msimbazi waumalize mwendo. Huwezi peleka baiskel ya miti kwenye mbio za pikipiki
AhaaaaMechi ya Simba vs AL Ahly imeshazoeleka ndio maana haizungumziwi sana
Ndiyo hivyoMimi naona kilichozoeleka ni Ahly kumtoa simba.
Au naongopa ndugu yangu?
Ukienda kule mtandao wa X Yanga ndo anaongoza kwa kutajwa sanaStory zote hapa nchini ni juu ya mechi ya Yanga v Mamelodi Sundowns. Naomba kujuzwa, ile ya Simba v Al Ahly imeahirishwa? au kuna mechi ngapi jaman
AahaaaMimi naona kilichozoeleka ni Ahly kumtoa simba.
Au naongopa ndugu yangu?
Huyu Mama ni shabiki lia lia wa AmazuluAtakuwepo
View attachment 2943436