Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Naona unaenda Tripple B [emoji41]Tegeta mkuu
Mwenyewe hapa nasubiri bby anitumie ya wine nianze sikuVaa pendeza meremeta nenda harusini, ila nrushie elfu kumi na tano nichome kuku au mbuzi huu uchu utaniua aisee.
Eeh ila naenda kukaa Kama nusu SAA tuNaona unaenda Tripple B [emoji41]
Brevis yako uko nayo unipitie twende Sinza?Eeh ila naenda kukaa Kama nusu SAA tu
Goba?Wifi twende Triple B
Mie natumia usafiri wa watu mkuu. Sijabahatika hata Pikipiki bado. Labda nikupitie Na uberBrevis yako uko nayo unipitie twende Sinza?
EeehGoba?
huu Uzi unancheksha sana hakuna wa kumsaidia mwenzie ngoja tuoneMwenyewe hapa nasubiri bby anitumie ya wine nianze siku
Bora ya Mimi mwenye buku sabahuu Uzi unancheksha sana hakuna wa kumsaidia mwenzie ngoja tuone
Nimetumiwa hela sasa line iko kwenye kimeo sijui naitoaje Nikaanze Siku mie. Nasubiri ya bby Namba 2 sasa hivihuu Uzi unancheksha sana hakuna wa kumsaidia mwenzie ngoja tuone
Duh kibubu kikijaa chukua Uber basi twende kwenye harusi.Nimetumiwa hela sasa line iko kwenye kimeo sijui naitoaje Nikaanze Siku mie. Nasubiri ya bby Namba 2 sasa hivi
hongera mzigua ila usitoe yote nrushie ya juice ya miwaDuh kibubu kikijaa chukua Uber basi twende kwenye harusi.
miss natafuta ujue mpaka sasa hivi wewe ni don humu ujueNimetumiwa hela sasa line iko kwenye kimeo sijui naitoaje Nikaanze Siku mie. Nasubiri ya bby Namba 2 sasa hivi
Bora ya Mimi mwenye buku saba
Hahaha mimi nna kadi tu hela sina ndio maana nikamuambia kibubu kikijaa ikitosha ya uber go and return poa.Mkuu hali tete kama upo vzr mlipie tu uber si unaona anavyodunduliza?
hongera usitoe yote nrushie ya juice ya miwa
mpaka sasa hivi wewe ni don humu ujue
Itabidi tupitishe kamati mzigua aende mchango wetu hauwezi kuharibika, itakuwa ni matumizi mabaya ya rasilimali.Hahaha mimi nna kadi tu hela sina ndio maana nikamuambia kibubu kikijaa ikitosha ya uber go and return poa.
Kishajaa. Ngoja nifanye mpango wa uber tuDuh kibubu kikijaa chukua Uber basi twende kwenye harusi.
Hahahahaaauna buku saba alafu unakunywa maji tu, ok!
Kunywa maji mengi hapo kwako then ulale. It is too expensive out here to have fun with elfu saba in your handbag!
Too expensive for your body and budget!
Kweli tenaItabidi tupitishe kamati mzigua aende mchango wetu hauwezi kuharibika, itakuwa ni matumizi mabaya ya rasilimali.