Weekend ndefu sana, I'm already bored

Weekend ndefu sana, I'm already bored

Prof Janabi wa JF

Senior Member
Joined
Jul 7, 2023
Posts
165
Reaction score
450
Aisee wiki inaisha na mwezi unaisha, kwa huku Marekani hapa nilipo leo kuna mechi kubwa sana ya American Football, kwa hiyo ofisi nyingi zimefungwa saa sita mchana. Na kuanzia hapo ni wadau tu wanaweka mabango ya kufanya burudani zao.

Maisha ni tofauti sana, tangu saa sita ndege mbili zinazurura angani kutangaza hiyo mechi. Mimi mtoto wa kijijini huko nawaza kama siku Simba na Yanga wataweza kutumia ndege kuhamasisha. Folenii imekuwa kubwa sana, yaani ni tukio ambalo wenyewe wanalipenda, kwa hiyo wako nalo vyema. Ni American Soccer, sio ile ya kama ligi za Ulaya.

Wiki inakuwaje ndefu! Jumatatu ni siku kubwa sana kwa Marekani, itakuwa tarehe mbili ambayo ni Labor Day kwa Marekani. So naona masiku ni mengi kukaa ndani kutulia. Tangu awali kukaa ndani kunakuwa kunakera sana.

Kwa sisi wadau ambao kukaa ndani tunakereka huwa tunatamani kuwa kwenye mishemishe za kuweka mambo sawa. Ila anyway, nitaangalia Netflix kama itaniondolea upweke mzee wenu.

Ndimi Prof Janabi wa JF,
Mshamba kutoka Tz anayewakilisha taifa Marekani
 
Kumbe tarehe 2 September ni siku ya uhuru hapo Marekani!!

Asante nimejifunza
 
Kumbe tarehe 2 September ni siku ya uhuru hapo Marekani!!

Asante nimejifunza
Labor Day ni sikukuu ya Wajawazito sio sikukuu ya Uhuru uwe unasoma kwa kutulia na Wewe Kitombile ndio anavyokufundisha hivyo?

FaizaFoxy huko Shule ulienda kusoma ujinga?
itakuwa tarehe mbili ambayo ni Labor Day kwa Marekani.
Labor Day = sikukuu ya Wajawazito kwa kiufupi unaweza weka Kiswahili laini ikasomeka Wafanyakazi

#kaributuleskanka
-Here it goes Again
 
Labor Day ni sikukuu ya Wajawazito sio sikukuu ya Uhuru uwe unasoma kwa kutulia na Wewe Kitombile ndio anavyokufundisha hivyo?

FaizaFoxy huko Shule ulienda kusoma ujinga?
Labor Day = sikukuu ya Wajawazito kwa kiufupi unaweza weka Kiswahili laini ikasomeka Wafanyakazi

#kaributuleskanka
-Here it goes Again

Labor day ni siku ya wafanyakazi kama May mosi bongo na nchi zingine. Unawaza mimba tu ushadungwa nini, sister?
 
Labor day ni siku ya wafanyakazi kama May mosi bongo na nchi zingine. Unawaza mimba tu ushadungwa nini, sister?
Mzee wangu Mimi ni brother naelekea kua Shemasi sio Sister, Vipi ushakula? Skanka?
 
Labor Day ni sikukuu ya Wajawazito sio sikukuu ya Uhuru uwe unasoma kwa kutulia na Wewe Kitombile ndio anavyokufundisha hivyo?

FaizaFoxy huko Shule ulienda kusoma ujinga?
Labor Day = sikukuu ya Wajawazito kwa kiufupi unaweza weka Kiswahili laini ikasomeka Wafanyakazi

#kaributuleskanka
-Here it goes Again
Kamanda unapenda sn kumfatilia manzi angu acha nijilie vyangu taratibu.
 
Uko marekani uko bored kiasi hiki sisi wa huku nchi ya kizimkazi sijui tuseme nini😅😅😅
 
Aisee wiki inaisha na mwezi unaisha, kwa huku Marekani hapa nilipo leo kuna mechi kubwa sana ya American Football, kwa hiyo ofisi nyingi zimefungwa saa sita mchana. Na kuanzia hapo ni wadau tu wanaweka mabango ya kufanya burudani zao.

Maisha ni tofauti sana, tangu saa sita ndege mbili zinazurura angani kutangaza hiyo mechi. Mimi mtoto wa kijijini huko nawaza kama siku Simba na Yanga wataweza kutumia ndege kuhamasisha. Folenii imekuwa kubwa sana, yaani ni tukio ambalo wenyewe wanalipenda, kwa hiyo wako nalo vyema. Ni American Soccer, sio ile ya kama ligi za Ulaya.

Wiki inakuwaje ndefu! Jumatatu ni siku kubwa sana kwa Marekani, itakuwa tarehe mbili ambayo ni Labor Day kwa Marekani. So naona masiku ni mengi kukaa ndani kutulia. Tangu awali kukaa ndani kunakuwa kunakera sana.

Kwa sisi wadau ambao kukaa ndani tunakereka huwa tunatamani kuwa kwenye mishemishe za kuweka mambo sawa. Ila anyway, nitaangalia Netflix kama itaniondolea upweke mzee wenu.

Ndimi Prof Janabi wa JF,
Mshamba kutoka Tz anayewakilisha taifa Marekani
Ukichoka kukaa ndani Kaa nje mkuu
 
Back
Top Bottom