Kwa muda ganiNimekunywa castle lite 10 ,k vant moja na wine mbili aina ya magi nimelewa balaa sijui km nitaweza kudrive wallah
PoaNjoo pm
Hutawezasijui km nitaweza kufika hom
Hahaha, kwanza bado anasimu, anaijua app ya JF,...huyu bado sanaa aulize malejendiiWewe bado hujalewa vya kutosha, ungekuwa umelewa kisawasawa ungeuona mtaro wowote wa karibu ungejua ndio home sweet home[emoji1787]
Unakuywa gongo tu hapo mkuu
Tatizo pesa mkuuUnakuywa gongo tu hapo mkuu
Una familia?????Nimekunywa castle lite 10, K Vant moja na wine mbili aina ya magi nimelewa balaa sijui kama nitaweza kufika hom