Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nimekunywa castle lite 10, K Vant moja na wine mbili aina ya magi nimelewa balaa sijui kama nitaweza kufika hom
Kwa muda gani
Duhhhh.....Njoo pm
Watu na bahati zenu shekh...😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekunywa castle lite 10, K Vant moja na wine mbili aina ya magi nimelewa balaa sijui kama nitaweza kufika hom
Kwa muda gani
Duhhhh.....Njoo pm
Mnywe supu kwanzaHahahaa mm ndo nimejipatia na limchepuko kutoka anga za mbaaali tumepga tungi kifuatacho hahahahahaa tunajua wenyewe
Heshma yako kaka...🙋
Mtani wangu mshana Jr kapata demu hapoHeshma yako kaka...[emoji137]
Mtaro unamaanisha niniVipi mkuu ulifika salama home ama ulichagua mtaro uliokaribu na hiyo bar ukalala hapo?[emoji23]
Maneno mengine umeelewa? Yanamaanisha nini?Mtaro unamaanisha nini
Sijayaelewa broManeno mengine umeelewa? Yanamaanisha nini?
Sasa why uulizie hilo neno moja wakati hujaelewa yote?Sijayaelewa bro
Describe kwa paragraph mojaSasa why uulizie hilo neno moja wakati hujaelewa yote?
Kindly assist on behalf, sometimes si lazima uelewe kila kitu usipoelewa kitu unapita hivi ila mambo mengine yaendelee😏Describe kwa paragraph moja
Napita wapi?Kindly assist on behalf, sometimes si lazima uelewe kila kitu usipoelewa kitu unapita hivi ila mambo mengine yaendelee[emoji57]
FkNapita wapi?
Unamanisha nini mrembo?
Hata jina lako hulijui? FkUnamanisha nini mrembo?
21 ingekuwepo ningejua ni jina ila nahisi umenitukanaHata jina lako hulijui? Fk
Huyo ni demu sio brooSijayaelewa bro