Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio taharifa sema taarifaMimi na wenzangu tumrshanunua jezi za Mamellod na tutazitinga ,natamani mtu abiguse ilu saa mbili nionekane kwenye taharifa ya habari na front page za magazeti ya kesho yake
Uki heat negative na ikala kwako je?Kwa ntakachofanya lazima niheat headlinea
Akuguse mtu unukeMimi na wenzangu tumrshanunua jezi za Mamellod na tutazitinga ,natamani mtu abiguse ilu saa mbili nionekane kwenye taharifa ya habari na front page za magazeti ya kesho yake
Atapata mimbaUki heat negative na ikala kwako je?
Watanzania hasa mashabiki wa simba wana hamu ya kuvaa jezi ya MamelodyMimi na wenzangu tumrshanunua jezi za Mamellod na tutazitinga ,natamani mtu abiguse ilu saa mbili nionekane kwenye taharifa ya habari na front page za magazeti ya kesho yake
Hahahaha Ndumbaro Mnyama halafu alitaka kuwazuia wanyama wenzie wasivae jezi ya MamelodyNdumbaro hajielewi, kwanza sijui kama anaweza kupiga hata danadana tano mpira uwe chandimu.
Naunga mkono hojaMashabiki wa Simba wana hamu ya kuvaa jezi ya Mamelody kuliko Mamelody wenyewe
Kweli umbumbumbu upo
Hahahahaha we soma vzr katikati ya mistari na hizi taarifaNaunga mkono hoja
Hahahahahaha...nimegundua kweli kuna mbumbumbu..yaani ishu ya jezi imekua faraja kwao..Mbumbumbu mnatafuta faraja kwa nguvu
Kwaiyo ukivaa jezi ya mamelod itafuta goli 5 za November 5
Sent using Jamii Forums mobile app