Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,067
- 4,434
<br />Mimi nitakuwa kinyume na nyinyi kidogo! Jf ni sehemu ya mapambano ya ukombozi wa taifa hili tunapambana bila kutiliana shaka wala kuoneana haya!<br />
Kitendo cha kukutana na kufahamiana kitapunguza ujasiri wa makamanda wa vita! Kumbukeni jf ndio chombo pekee cha habari chenye uwezo wa kuingia mpaka chumbani kwa mkweeree na ndiyo chanzo cha habari zote tz!<br />
Ningeshauri twendeni twitter na facebook ndiko tufahamiane na kubanjuka! Jf ibaki kama chombo cha ukombozi tz!!
<br />
Hapo kweli mkuu umenena,hivi unafikiri nikikutana na mtu ka Mwita25 au Faiza fox mi nitafanya nini zaidi ya kumchapa makofi?