Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Teh wewe ni nomaSio kwa ufunguaji wa zipu huo ... Sitaki kujua story itaisha hajaumwa ugonjwa wa zinaa uliosababisha kuliwa kwa sehemu zake za siri na hivyo kushindwa kuneng'eneka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh wewe ni nomaSio kwa ufunguaji wa zipu huo ... Sitaki kujua story itaisha hajaumwa ugonjwa wa zinaa uliosababisha kuliwa kwa sehemu zake za siri na hivyo kushindwa kuneng'eneka
Mfyuuu zakeAna akili sana, ameuliza maswali yale yale ambayo huwa hatupendi kuyasikia ila ndio uhalisia. Mara nyingi wazazi tunajisahau sana na kuona ngono ndio priority bila kuwakumbuka watoto ambao ndio kiasi kikubwa saaaana wanathirika.
Kama huyu yaani hataaa hajifeel guilty, anaona misifa kabisa kwa huu ufirauni anaofanya.
Huwezi kuacha kumuunga mkono nduguyo[emoji2] [emoji2]Unamtelekeza mlokole au unaamua kufuata nyayo zake?
...usikute wewe ndiyo man of the people mkuu, maana Lara 1 kasema tupo naye humu humu ndani ya jukwaa!Ila kuna mahala nimeguswa kiuhalisia kabisaaa[emoji52][emoji52]
[emoji2] [emoji2] [emoji2]...usikute wewe ndiyo man of the people mkuu, maana Lara 1 kasema tupo naye humu humu ndani ya jukwaa!
Ni trauma mbaya sana kwa watoto, ni vile tu hawajui.Mfyuuu zake
Of coz watoto lazima iwaume thinking kwamba baba ana familia yake nyingine anayoipenda na anaishi nayo, sisi ni wa akiba tu
Ila kuna mahala nimeguswa kiuhalisia kabisaaa[emoji52][emoji52]
😉 team no antena hehehe
Hahaa pole sana mkuuHuwezi kuacha kumuunga mkono nduguyo[emoji2] [emoji2]
Afu nina kesi na Lara kanisababishia cm kuvunjwa jana usiku[emoji2] [emoji2] mwenye mali anasubiria mpapaso lara kaniteka na story yake.
Sio kwa ufunguaji wa zipu huo ... Sitaki kujua story itaisha hajaumwa ugonjwa wa zinaa uliosababisha kuliwa kwa sehemu zake za siri na hivyo kushindwa kuneng'eneka