Go mi num
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 1,321
- 1,609
Of course yes.....Khaaa not to that extent bana
It's not like we hate him, but tunawish apatwe kidogo ili aache umaaluni wake atulie na mkewe. Kuna mke anayependa kumshare mumewe, au baba watoto wako akuache wewe then akaoe kwingine na kuishi happily ever after? Of coz we loved him alivyokuwa ametulia na his 1st wife, ile misimamo yake ya mwanzoni unaishia kusema "I wish". Ila sio kwa ufedhuli wake wa sasa hivi