Of course yes.....Khaaa not to that extent bana
It's not like we hate him, but tunawish apatwe kidogo ili aache umaaluni wake atulie na mkewe. Kuna mke anayependa kumshare mumewe, au baba watoto wako akuache wewe then akaoe kwingine na kuishi happily ever after? Of coz we loved him alivyokuwa ametulia na his 1st wife, ile misimamo yake ya mwanzoni unaishia kusema "I wish". Ila sio kwa ufedhuli wake wa sasa hivi
Kama ni hivyo maombi ya tezi dume acha yaendelee tu kwakweliSijawasaliti jamani nature haipingiki [emoji2] [emoji2] [emoji2] wanaume tuliumbwa hivyo hata kondoo tunaowaongoza wanatutamanisha hasa wale wanono wenye supporting document[emoji2] [emoji2] ila mzidi kutuombea wanaume.
jamaa hakuwa muhuni, sema mazingira ndio yanafanya yatokee yanayotokea.....A2G I must admit ulipotokea sikujui ila kwa tunavoendaaa, wewe ni MAN OF THE PEOPLE DAMU DAMUUUU. Na sitaki kuamini wanaume mme stick together with man of the people kimya kimyaaa. Maana siwaoni mkisema lolote juu ya ufirauni wa huyu MOTP. Nina uhakika mna mpa support ya nguvu kimya kimya
Nimeufuatilia huu uzi mwanzo mwisho ila nimegundua MOTP ana bahati mbaya sana, mwanaume yeyote anaweza kujikuta kavuruga kiasi hiki iwapo atakumbwa na bahati mbaya hizi.jamaa hakuwa muhuni, sema mazingira ndio yanafanya yatokee yanayotokea.....
Sijui man of the people leo atakuwa ananeng'eneka na nani maana kila episode sehemu za siri mpya loooooo! Man weeeeeee
ni kweli kabisa, sisi wanaume huwa tunakutwa na bahati mbaya sana.....!Nimeufuatilia huu uzi mwanzo mwisho ila nimegundua MOTP ana bahati mbaya sana, mwanaume yeyote anaweza kujikuta kavuruga kiasi hiki iwapo atakumbwa na bahati mbaya hizi.
jamaa hakuwa muhuni, sema mazingira ndio yanafanya yatokee yanayotokea.....
Nimeufuatilia huu uzi mwanzo mwisho ila nimegundua MOTP ana bahati mbaya sana, mwanaume yeyote anaweza kujikuta kavuruga kiasi hiki iwapo atakumbwa na bahati mbaya hizi.
hii ni bahati mbaya kawaida, maana kuna mazingira yanakufanya uingie katika hayo mambo hata ukiamua kuacha, watu wanakufuata, hasa ukiwa na roho ya huruma kwao.....Mkubwa hii bahati mbaya viiiiipi? Unaweza kuielezea kidogo? Huenda wahanga tukawa wengi...
kumbe hafai, aliathiriwa na mazingira ujue...Mwanzoni kabisa nikasema huyu ustaadh anafaa kuigwa. Naanza kuona wakati mwingine Mungu anakuacha na umasikini au ulemavu for your own good.
kumbe hafai, aliathiriwa na mazingira ujue...
Teh not to that extent banaMaombi ya kuombea tezi dume [emoji23] [emoji23] alafu naona wameanza kutuandama team roho mbaya et tunaenda pm kuomba namba[emoji2] [emoji2]
I expected this maana sio kwa promo hii anayopewa man of the people. Mweupe, diplomatic worker, analipwa dola, Ana honga, anajua kupiga mechi exactly what ladies like.
Kuna team roho mbaya ambao huko PM wanaomba namba yake.