[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa dada zangu wananilazimishaga tu kusoma lakin sipend kama nini
Pole sanaDaahhh moyo umeniuma sana!beira umeniharibia siku kabisa!hivi unaju ni kiasi gani mi nampenda beef???!!!yaani hapa nahisi nimelegea na kukosa nguvu kabisa unaweza kuniua ujue!naomba ukanushe hii habari haraka sana kabla sijazimia.weitaaa rete faru jon na don nyati ya coffee na Kvant 2 kubwa haraka tena ziwe baridi ili nikafie nyumbani saizi
hahahaKweli kabisa dada zangu wananilazimishaga tu kusoma lakin sipend kama nini
Acha tu.usiombe upende sehem afu uskie mtu kaingilia kati.unahisi kama mtu anakukata maini ndani kwa ndani.thanks but no thanks kwa polePole sana
sasa mbona huko dunia ya mapenzi umekwenda peke yako hujanishtua ..wakati mimi sehemu zote za raha nina zokwenda huwa Nina kuita ..huu ubinafsi huu mkuu.Wewe ndo upo wapii mm leo nipo dunia ya mapenziiii