Weekend udaku: beef kali la zuka kati ya kassie mahaba na beef lasgana kisa mshana jr

beira gazeti lako linapokea matangazo, wajasiriamali walitumie kutangaza biashara/huduma zao?

Nasikia gazeti za udaku zinasomwa sana [emoji23][emoji28]
Yap mkuu linapokea matangazo mkuu kama kuna biashara zako unataka tangaza bas usisite kunishutia
 
Jamaa ni mchawi kinoma itakuwa aliwachomea kamzizi usiku
Hivi ndio uchawi eeh,? maana nikadhani ni mtabibu wa dawa za jadi.

Ila kamzizi alikowapa kawamewanasa vilivyo
 
Sipat notification jaman utanisameheee kabisaaaa
Nimezizuia notifications ili wasikusumbue sweetie !!. waache wakeshe mimi nawacheki tu kwa mbaaaali [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Nimezizuia notifications ili wasikusumbue sweetie !!. waache wakeshe mimi nawacheki tu kwa mbaaaali [emoji41][emoji41][emoji41]
Sweet tena jaman unataka kuniharibia ndoa mm au?

Mrs Mshana jr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…