Weekend unafanya nini? Ratiba yako ikoje?

Weekend unafanya nini? Ratiba yako ikoje?

wehoodie

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2011
Posts
1,031
Reaction score
1,013
Watu wengi haswa wenye shughuli rasmi kama biashara au ajira huwa wana mapumziko mwisho wa wiki.

swali langu ni je unautumiaje muda wako wa weekend ambapo hauna jukumu la kufanya kazi? Hebu toa ratiba ili watu wapate kujifunza.

Makala mbalimbali zinashauri vitu vya kufanya wikiendi:

1. Kujifunza mambo mbalimbali kama kozi pamoja na kusoma vitabu.

2. Kutembelea marafiki na kufanya mtoko wa kujivinjari.

3. Kufanya usafi na kazi za nyumbani kama bustani, ujenzi n.k.

4. Kufanya mazoezi.

5. Kujitolea/volunteer.

6. Kuanzisha project unayoipenda.

7. Kufanya maandalizi ya wiki inayofuata.

Hizi ni nadharia je uhalisia wako wa wikiendi ukoje?
 
Kutembelea museums,
Kutembelea wagonjwa ili kuijua thamani ya afya,
Kutembelea wafungwa,kujua thamani ya freedom,sometimes kutembelea makaburi ili kutafakari thamani ya uhai,kutembelea vituo vya kulelea yatima,au hata kupiga story njiani na mmoja wa wale omba omba ili nae afarijike kua bado anathaminiwa pamoja na hali anayoipitia,

Kusikiliza music,kwenda Park,kucheza na watoto home,kufanya usafi,

Kifupi sina ratiba permanent na siwezi kuandika mambo yote,ni vizuri kufanya mambo tofauti tofauti kila unapokua free.

I know am not perfect but am just trying doing what i love,without wanting to impress others,
Love the life u live,live the life u love.
 
Watu wengi haswa wenye shughuli rasmi kama biashara au ajira huwa wana mapumziko mwisho wa wiki.

swali langu ni je unautumiaje muda wako wa weekend ambapo hauna jukumu la kufanya kazi? Hebu toa ratiba ili watu wapate kujifunza.

Makala mbalimbali zinashauri vitu vya kufanya wikiendi:

1. Kujifunza mambo mbalimbali kama kozi pamoja na kusoma vitabu.

2. Kutembelea marafiki na kufanya mtoko wa kujivinjari.

3. Kufanya usafi na kazi za nyumbani kama bustani, ujenzi n.k.

4. Kufanya mazoezi.

5. Kujitolea/volunteer.

6. Kuanzisha project unayoipenda.

7. Kufanya maandalizi ya wiki inayofuata.

Hizi ni nadharia je uhalisia wako wa wikiendi ukoje?
Uwa ni siku ya kuwahabarisha wanakijiji juu ya Mambo yaliyotokea juma zima pale kijiweni kwetu maana uwa wananisubiri kwa hamu .

Na ni hapo nimejizolea umaarufu na heshima isiyomithirika hapa kijijini Kama mjuzi na mchambuzi wa Mambo mbalimbali hapa duniani japo kamba nazowapiga sio za nchi hii
 
Mimi ikifika weekend asubuhi ninaamka ninapiga mswaki,
kisha naenda kubath kuweka mwili safi,
narudi ghetto nafungua kabati,
nachukua pamba bling bling kwa chati,
na t-shirt ya black na jeans ya khaki,
na chini nina simple white chata la nike,
kisha mzee najipulizia marashi nanukia safi,
 
Uwa ni siku ya kuwahabarisha wanakijiji juu ya Mambo yaliyotokea juma zima pale kijiweni kwetu maana uwa wananisubiri kwa hamu .

Na ni hapo nimejizolea umaarufu na heshima isiyomithirika hapa kijijini Kama mjuzi na mchambuzi wa Mambo mbalimbali hapa duniani japo kamba nazowapiga sio za nchi hii
Hongera mkuu, kijijini kwneu watu hawana namna ya kujua yanayoendelea kupitia media na mitandao?
 
Kutembelea museums,
Kutembelea wagonjwa ili kuijua thamani ya afya,
Kutembelea wafungwa,kujua thamani ya freedom,sometimes kutembelea makaburi ili kutafakari thamani ya uhai,kutembelea vituo vya kulelea yatima,au hata kupiga story njiani na mmoja wa wale omba omba ili nae afarijike kua bado anathaminiwa pamoja na hali anayoipitia,

Kusikiliza music,kwenda Park,kucheza na watoto home,kufanya usafi,

Kifupi sina ratiba permanent na siwezi kuandika mambo yote,ni vizuri kufanya mambo tofauti tofauti kila unapokua free.

I know am not perfect but am just trying doing what i love,without wanting to impress others,
Love the life u live,live the life u love.
Kweli hii au umesema ambayo watu wanapswa kufanya? Kama unafanya uko vizuri hongera sana.
 
Watu wengi haswa wenye shughuli rasmi kama biashara au ajira huwa wana mapumziko mwisho wa wiki.

swali langu ni je unautumiaje muda wako wa weekend ambapo hauna jukumu la kufanya kazi? Hebu toa ratiba ili watu wapate kujifunza.

Makala mbalimbali zinashauri vitu vya kufanya wikiendi:

1. Kujifunza mambo mbalimbali kama kozi pamoja na kusoma vitabu.

2. Kutembelea marafiki na kufanya mtoko wa kujivinjari.

3. Kufanya usafi na kazi za nyumbani kama bustani, ujenzi n.k.

4. Kufanya mazoezi.

5. Kujitolea/volunteer.

6. Kuanzisha project unayoipenda.

7. Kufanya maandalizi ya wiki inayofuata.

Hizi ni nadharia je uhalisia wako wa wikiendi ukoje?
JAPANESE UNCENSORED
 
Mimi ikifika weekend asubuhi ninaamka ninapiga mswaki,
kisha naenda kubath kuweka mwili safi,
narudi ghetto nafungua kabati,
nachukua pamba bling bling kwa chati,
na t-shirt ya black na jeans ya khaki,
na chini nina simple white chata la nike,
kisha mzee najipulizia marashi nanukia safi,
Acha fiksi haya mashairi ya mangwair mkuu😃😃
 
Kutembelea museums,
Kutembelea wagonjwa ili kuijua thamani ya afya,
Kutembelea wafungwa,kujua thamani ya freedom,sometimes kutembelea makaburi ili kutafakari thamani ya uhai,kutembelea vituo vya kulelea yatima,au hata kupiga story njiani na mmoja wa wale omba omba ili nae afarijike kua bado anathaminiwa pamoja na hali anayoipitia,

Kusikiliza music,kwenda Park,kucheza na watoto home,kufanya usafi,

Kifupi sina ratiba permanent na siwezi kuandika mambo yote,ni vizuri kufanya mambo tofauti tofauti kila unapokua free.

I know am not perfect but am just trying doing what i love,without wanting to impress others,
Love the life u live,live the life u love.
Nimejiridhisha wewe unaishi ulaya. Ungekuwa bongo usingetembelea museums.
 
Back
Top Bottom