wehoodie
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,031
- 1,013
Watu wengi haswa wenye shughuli rasmi kama biashara au ajira huwa wana mapumziko mwisho wa wiki.
swali langu ni je unautumiaje muda wako wa weekend ambapo hauna jukumu la kufanya kazi? Hebu toa ratiba ili watu wapate kujifunza.
Makala mbalimbali zinashauri vitu vya kufanya wikiendi:
1. Kujifunza mambo mbalimbali kama kozi pamoja na kusoma vitabu.
2. Kutembelea marafiki na kufanya mtoko wa kujivinjari.
3. Kufanya usafi na kazi za nyumbani kama bustani, ujenzi n.k.
4. Kufanya mazoezi.
5. Kujitolea/volunteer.
6. Kuanzisha project unayoipenda.
7. Kufanya maandalizi ya wiki inayofuata.
Hizi ni nadharia je uhalisia wako wa wikiendi ukoje?
swali langu ni je unautumiaje muda wako wa weekend ambapo hauna jukumu la kufanya kazi? Hebu toa ratiba ili watu wapate kujifunza.
Makala mbalimbali zinashauri vitu vya kufanya wikiendi:
1. Kujifunza mambo mbalimbali kama kozi pamoja na kusoma vitabu.
2. Kutembelea marafiki na kufanya mtoko wa kujivinjari.
3. Kufanya usafi na kazi za nyumbani kama bustani, ujenzi n.k.
4. Kufanya mazoezi.
5. Kujitolea/volunteer.
6. Kuanzisha project unayoipenda.
7. Kufanya maandalizi ya wiki inayofuata.
Hizi ni nadharia je uhalisia wako wa wikiendi ukoje?