mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kuangalia shows ninazopenda
kuandika code
kugombana na watu wangu wa karibu kisa siendi kanisani
kuandika code
kugombana na watu wangu wa karibu kisa siendi kanisani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GugooIna maana gani hii?
Weekend ni Kanisani kwa ibada, Kupumzika , na kutembelea maeneo, ndugu, Jamaa na MarafikiWatu wengi haswa wenye shughuli rasmi kama biashara au ajira huwa wana mapumziko mwisho wa wiki.
swali langu ni je unautumiaje muda wako wa weekend ambapo hauna jukumu la kufanya kazi? Hebu toa ratiba ili watu wapate kujifunza.
Makala mbalimbali zinashauri vitu vya kufanya wikiendi:
1. Kujifunza mambo mbalimbali kama kozi pamoja na kusoma vitabu.
2. Kutembelea marafiki na kufanya mtoko wa kujivinjari.
3. Kufanya usafi na kazi za nyumbani kama bustani, ujenzi n.k.
4. Kufanya mazoezi.
5. Kujitolea/volunteer.
6. Kuanzisha project unayoipenda.
7. Kufanya maandalizi ya wiki inayofuata.
Hizi ni nadharia je uhalisia wako wa wikiendi ukoje?
Bila uchumi na afya huwezi himili ile kitu mjomba, afya ninayo na buku mbili mbili kila weekend sikosi.Hii kule 254 wanaita Aluta, jitahidi upunguze kwa ajili ya ubora wa uchumi na afya pia.
Wengi hawaelewi chochote ,mtu yeyote akinunua simu lazima ailete Mimi nimuungie Facebook ndiyo mtandao wanaoujua ila hawanunui simu mpaka nimewatajia simu nzuri .Hongera mkuu, kijijini kwneu watu hawana namna ya kujua yanayoendelea kupitia media na mitandao?
Natisha wapi mwanawane....vitu vidogo hivyo watu wanafanya orgy kabisaUmetisha sana kiongozi.