Weekend unafanya nini? Ratiba yako ikoje?

kuangalia shows ninazopenda

kuandika code

kugombana na watu wangu wa karibu kisa siendi kanisani
 
Weekend ni Kanisani kwa ibada, Kupumzika , na kutembelea maeneo, ndugu, Jamaa na Marafiki
 
Hii kule 254 wanaita Aluta, jitahidi upunguze kwa ajili ya ubora wa uchumi na afya pia.
Bila uchumi na afya huwezi himili ile kitu mjomba, afya ninayo na buku mbili mbili kila weekend sikosi.
 
Hongera mkuu, kijijini kwneu watu hawana namna ya kujua yanayoendelea kupitia media na mitandao?
Wengi hawaelewi chochote ,mtu yeyote akinunua simu lazima ailete Mimi nimuungie Facebook ndiyo mtandao wanaoujua ila hawanunui simu mpaka nimewatajia simu nzuri .

Kijiji karibia kizima Wana aina ya simu yangu maana nilisema iko vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…