Weekend ya Ijumaa Agosti 24, 2018: Shangwe kila kona ya nchi ya Tanzania

Gesti zilianza kujaa mspema sana. Kumbe papuchi zinaliwa kwa msimu siku hizi. Basi huu ndio msimu wake.....nadhani safari hii msimu utadumu
 
Inamaana wewe hautafurahia msiba wa mwenye taifa lake?.


#TUNATAKA UHURU WATANZANIA YETU.
#MAGUFULI TUNATAKA UHURU WETU.
Mimi hata msiba wa Shetani ikiwa yupo kweli, sitafurahia.

Ni mwanadiplomasia ninayetaka kumaliza tofauti kwa majadiliano, na msiba wa Shetani, utamaanisha amefariki kabla ya kumaliza tofauti zake na Mungu.

Msiba ni msiba tu, tusitake kufanya siasa na dhiki zibadilishe utu wetu.

Now, now,now now before y'all bible thumping people get a hard on on going gaga on a "Freemason' tip, even as atheists can't be Freemasons. I would like to burst your bubble..

I am being very figurative.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…