Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Hakuna cha iti kadi, ukiishi duniani kula maisha 😀Itikadi inanibana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha iti kadi, ukiishi duniani kula maisha 😀Itikadi inanibana
Wanakujanamba D itapendeza
Wana ma silo makubwaaaaA na D vipi?
Ndio wazuri hao, wanaipendezesha wkendWana ma silo makubwaaaa
😀 😀 Sawa, ila wewe ni A, B, C, D au E?😎😎😎 weka wanaume wenye kola zao na viiriba tumbo tuone
Wanasema fahari ya macho ni kuona 😀Wadada wanao vaaga nguo za kuchanika kama hivi, hua mnawatolea wapi...🤔
Wenye muonekano wa E wanakujaI choose E
Wakija wapitilize chumbani kabisa, nina neno nao.🤣Wenye muonekano wa E wanakuja
napenda mwembamba mkuuWe unapenda muonekano upi?
Hawa wa humu wana muonekano upi?napenda mwembamba mkuu
angalau A yupo vizuri
ni siri yaoHawa wa humu wana muonekano upi?
Ndo walau zimetight sasaHawajui kuoga hao
Ni sawa na kutumia sahani ya plastiki kulia ugali na maharageNdo walau zimetight sasa
Mavazi yasikuchanganye mkuu, wote ni wa kawaidaOya mzee ilo wazo lako ni zuri ila sema vigezo na masharti hujazingatia.hao wte ni wakishua sas hao wengne je waushwahilin.sis wengne ndo vitu vyetu kwasababu hatuelew mifukon
Eban!eh co kwel vyauswahilin navijua vizuri an hat nikiamshwa usingizn.kwanz nkujuze kitu1 hv kuhus mavaz t hapo kungekuw na kijora ama dela hapo sawMavazi yasikuchanganye mkuu, wote ni wa kawaida
Halafu wasiweke kufuli...Eban!eh co kwel vyauswahilin navijua vizuri an hat nikiamshwa usingizn.kwanz nkujuze kitu1 hv kuhus mavaz t hapo kungekuw na kijora ama dela hapo saw