Weekend

Ila watu wanayaweza aisee kufungua I'd mpya kukera wenzao
Afu id inakuja kwa kasi na inamjua kila mtu,nimetoka kwa mambembe uko[emoji23] iyo id ilikua inachambana na mambembe,nimeenda kwa kina mshana nikaikuta bahati nzuri hawakumpa attention wakajifanya hawajamwona akakosa kuendelea,yani hii ni kazi kweli na inahitaji nguvu sana,na simu tatu tatu kabisa
 
Aiseee kumbe ilikuwa inakera watu wengi hivyo hata hapa wasingemjibu wangemkalia kimya tu
 
Akajambe mbeleee huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…