Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Naomba niletee zawadi jamaniSikuona hii ndio nimeona muda huu...
Week ijayo nasafiri maybe mwezi wa nne hivi ndio nitakuwa around dar... [emoji20] [emoji20] [emoji20]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba niletee zawadi jamaniSikuona hii ndio nimeona muda huu...
Week ijayo nasafiri maybe mwezi wa nne hivi ndio nitakuwa around dar... [emoji20] [emoji20] [emoji20]
Ubaya upoo [emoji173][emoji23] au kuna ubaya?
Next time nikikuitaji naomba uchague maeneo jirani na haya... [emoji4] [emoji4] [emoji4]Niko Protea town. Heienek zangu nazikuta wapi leo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mieYani mimi utaonekana kweli nakubemenda.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] unatumia magimbi....Naomba niletee zawadi jamani
Kho kho khoNext time nikikuitaji naomba uchague maeneo jirani na haya... [emoji4] [emoji4] [emoji4] View attachment 725126
Haha jamaaaani sina kaka,akisimama kama kaka angu ntampenda mileleUbaya upooo ukaka vipiiii unataka kunyima nini mtoto wa mwanamke mwenzio
Natumia ndizi[emoji12] [emoji12] [emoji12] unatumia magimbi....
Mfyuuuuu usimtese mtoto wa watuHaha jamaaaani sina kaka,akisimama kama kaka angu ntampenda milele
Hahaa.... nishaona afu kama vile ulikuja pale karibu na heinekein house that day im curious..... [emoji4] [emoji4] [emoji4]Yani mimi utaonekana kweli nakubemenda.
Hahah...utakuwa na maji mengi wewe....Natumia ndizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mecheka ujumbe wangu mwambie mzigua atanifikishia nakaa nae nyumba mojaHahah...utakuwa na maji mengi wewe....
Naomba niku invite lunch and not dinner white [emoji12] [emoji12] bwana wako naona kajificha mpaka muda hajatoa ruksa
Naona unappishana na fursa mkuu [emoji12] [emoji12] [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naogopa mengi yaan me muoga mnoo jamani acha tujuane tu jukwaani
Na aliyeniroga kafa hakiii[emoji57][emoji57][emoji57]Umerogwa wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana jamani nyingine sio fursa hata unaenda kuumbuka tuNaona unappishana na fursa mkuu [emoji12] [emoji12] [emoji12]