Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe salaam zangu mzigua atanifikishia unachotaka kuhusu mm[emoji1317][emoji1317][emoji1317]
Ngoja akujelabda
Kweli wakunyumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] nitasifia mkia wako kwa tafsida maana najua vibonge wengi wana mkia na guu la bia....Mi sio mswahili mkuu. Labda we uje kuninganga ubonge wangu
Sawa white mimi ni simple guy tu mgaa gaa na upwa hapa mjini [emoji4] [emoji4] [emoji4]Mpe salaam zangu mzigua atanifikishia unachotaka kuhusu mm
Eeeh hiyo si pesa ya heineken 6 tu ama...Awweee
Me mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bombaSawa white mimi ni simple guy tu mgaa gaa na upwa hapa mjini [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Mh huyo ni wewe??? Nakumbuka Mara ya mwisho kukutana (pale makutanoni kwetu) ulikuwa black beauty la nguvu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ...Issa Weekend.![]()
Me nakunywaga kumiEeeh hiyo si pesa ya heineken 6 tu ama...
Hahaha ukiamka asubuh mali zako zoye unaziona sioMe mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bomba
Naziona yaani sina wasiwasi wowote hata nikisafiri mwezi hakuna wa kuniibia jamaniHahaha ukiamka asubuh mali zako zoye unaziona sio
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] tunazipanda wote hizo white..Me mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bomba
You are a muslim dear... maji ni saizi yako white [emoji4] [emoji4] [emoji4]Me nakunywaga kumi