Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro angu huyo
Sabuni inafanya kitu ipungue urefu😭mwenye handle ya sabuni anisaidie
Nakupenda sana sabuni maana nikikuhitaji mda wowote upo kwa ajili yangu kama vile iwavyo Oksijeni na moyo ..
Hata nikiwa sina pesa ewe sabuni hujawahi nikimbia katika shida na raha u pamoja nami sabuni jinsi navyokupenda sabuni hata dunia ikianza upya ntakuchagua wewe sabuni 😔
Kwanini msiongeze idadi viwe viwili? 😂😂😂Kila siku asubuhi kabla ya kutoka nje lazima tumeze kidonge kimoja cha 'fear men'
Ndio tupate kujilinda huko barabarani
NakaziaTumia umoja dada ww
Halafu inasinyaa ,nakulegea ma pp yanashuka kama uyoga shauri yako😁😁Sabuni inafanya kitu ipungue urefu
Shauri ako
Yes ,Daah nikugawie?
😂😂😂 uliona wapi yanavyoshuka kama uyoga?Halafu inasinyaa ,nakulegea ma pp yanashuka kama uyoga shauri yako😁😁
Hapa nitapona kweli dadangu?🤣Bro angu huyo
Mwee sabuni na urefu kipeperungu ni kama vile dagaa mchele na ugali wa dona🥲Sabuni inafanya kitu ipungue urefu
Shauri ako
Too much is harmfulKwanini msiongeze idadi viwe viwili? 😂😂😂
Ngoja niite mashahidi😁Yes ,
Sawa bongeMwee sabuni na urefu kipeperungu ni kama vile dagaa mchele na ugali wa dona🥲
Akijibu nitag😂😂😂😂 uliona wapi yanavyoshuka kama uyoga?
😂😂 kumbeToo much is harmful
Kuna wakati tunawahitaji, sasa tuliweka viwili itakula kwetu😂