Weinstein alitaka kulala na Lupita Nyong'o

Weinstein alitaka kulala na Lupita Nyong'o

Mkuu kanumba ana kesi ya kujibu, km sio kifo kilimuumbua nani angejua kanumba anam-date Lulu?ukiachia tofauti zao za kiumri na ata kimaumbo, nani aliwahi kufikiri kuwa wawili hao walikuwa na mahusiano ya kimapenzi? Binafsi naamin kanumba anapaswa kufunguliwa kesi ya unyanyasaji wa watoto wa kike.
Kamuulize prof kadege kati ya kanumba na lulu nani anastahili kwenda jela
 
Mkuu kanumba ana kesi ya kujibu, km sio kifo kilimuumbua nani angejua kanumba anam-date Lulu?ukiachia tofauti zao za kiumri na ata kimaumbo, nani aliwahi kufikiri kuwa wawili hao walikuwa na mahusiano ya kimapenzi? Binafsi naamin kanumba anapaswa kufunguliwa kesi ya unyanyasaji wa watoto wa kike.
Kamuulize prof kadege kati ya kanumba na lulu nani anastahili kwenda jela
 
Sorry umenielewa vibaya, nilichomaanisha ni kwamba MEN WE ARE SEX BEAST NATURALLY so tunaweza kumtamani mwanamke katika mazingira yoyote yale, na suala hapa sio kulazimisha maana hilo liko more subjective na term ya kisheria inayoangukia hapa ni POSITION OF TRUST ambayo inawahusu sana watumishi wa umma ama ipo hasa kwa waalimu,Doctors na Police

So technically huwezi kuweka kwenye makaratasi hivo vigezo pia huwezi kuwatamani wanawake wote as long ni wale uliowapenda hama wanaokuvutia kimapenzi

hivi umeshawai kujiuuliza kwanini wanaume tunabaka labda mada ijikite hapa zaidi...naomba jibu.

Suala la R.kelly kumuoa Aaliyah siwezi kuliongelea sana maana story yake ni ya muda mrefu sana na ile inawezekana ilikuwa ni njia ya kupromote album ya Aaliyah ya AGE AIN'T NOTHING BUT A NUMBER pia
miaka 14 mbona ni legal age kwa mwanamke kufunga ndoa ili mradi mahakama ilidhie...hata sheria ya ndoa ya Tz ipo ivo

Nadhani kuko na wanaume wa aina mbili kuna wale ambao wako kama Wanyama hawawezi Ji control na kuna wale wako na utashi wa binadamu. Tumeaona wanaume wako powerful na wana deal na warembo but wana jiheshimu wao na familia zao.
 
Inabidi sasa itungwe sheria jinsi ya kumtongoza mwanamke maana naona sasa inakuwa shida
 
Nadhani kuko na wanaume wa aina mbili kuna wale ambao wako kama Wanyama hawawezi Ji control na kuna wale wako na utashi wa binadamu. Tumeaona wanaume wako powerful na wana deal na warembo but wana jiheshimu wao na familia zao.
kwenye kesi hii ya lupita mbona jamaa alikua anatumia trick za kawaida kabisa ambazo kimsingi wanawake ndio huzitumiaga kututega
 
Kama marehemu Kanumba alivyomfanyia Lulu kipindi hicho kalivyokuwa hata manyonyo hayajaota.
Trial within a trial, kabla ya Lulu kuukumiwa mahakama ilitakiwa ipime unyama aliofanyiwa Lulu na babu Kanumba.
 
kwenye kesi hii ya lupita mbona jamaa alikua anatumia trick za kawaida kabisa ambazo kimsingi wanawake ndio huzitumiaga kututega

Sasa uamuzi ni wake akatae au akubali, lakini kutumia power ili uoate MTU huo ni unyanyasaji, wanawake wanawatega kwa sababu wanajua weakness yenu na unaweza kuwa ignore vile vile hawajakushikia bunduki
 
Nadhani kuko na wanaume wa aina mbili kuna wale ambao wako kama Wanyama hawawezi Ji control na kuna wale wako na utashi wa binadamu. Tumeaona wanaume wako powerful na wana deal na warembo but wana jiheshimu wao na familia zao.
Huu ni mtazamo wako tu kuwagroup wanaume katika makundi haya mawili

Umekosea kumfananisha mwanaume na mnyama katika muktadha huu maana wanyama hawafanyi ngono kwa starehe wao hujamiiana kwa uzarishaji tu so technically madume hayawezi kumuingilia jike kama atakuwa hayupo kwenye heat

Suala la wanaume kuijicontrol pia linategemea upande wa wanawake kujicontrol mavazi na mipaka ,unakuta binti amevaa nusu uchi tena anongea kwa madaha (nafikiri wewe unaweza usione kitu chochote cause you're a female) usimchombeze kwanini

Wanaume tuna involuntary action toward opposite sex na hata hao unaosema wanajieshimu ni kwamba tu wanavumilia mengi
 
Sasa uamuzi ni wake akatae au akubali, lakini kutumia power ili uoate MTU huo ni unyanyasaji, wanawake wanawatega kwa sababu wanajua weakness yenu na unaweza kuwa ignore vile vile hawajakushikia bunduki
Sasa hapa ndio umekuja kwenye point na yeye Weinstein akumlazimisha Lupita bali alitumia influence yake na kwa vile Lupita alikataaa basi akaachana nae
Suala la Lupita kuadithia halina maana kabisa sababu wanawake wanatongozwa kila siku

Sasa kama wanatutega kwanini tukimega tunaonekana wabaya tena
 
Hizi ni tabia za ki-teenager sio za mijitu mizima kama huyu mzee mkomavu
Suala la tabia za kingono halina umri mkuu ni kwamba umri unavyozidi kwenda ndio mzuka unavyopungua taratibu

Ila mahitaji ya kingono kama starehe yapo pale pale ingawa inatagemea upo kwa status gani ya kiuchumi nafiri ilo ndio linalotukuta wengi
 
Ukweli ni kwamba Lupita naye aligongwa na huyo Mzee!
 
Suala la tabia za kingono halina umri mkuu ni kwamba umri unavyozidi kwenda ndio mzuka unavyopungua taratibu

Ila mahitaji ya kingono kama starehe yapo pale pale ingawa inatagemea upo kwa status gani ya kiuchumi nafiri ilo ndio linalotukuta wengi
Ni mtazamo wako ila mimi nionavyo ni tofauti.
 
Nadhani kuko na wanaume wa aina mbili kuna wale ambao wako kama Wanyama hawawezi Ji control na kuna wale wako na utashi wa binadamu. Tumeaona wanaume wako powerful na wana deal na warembo but wana jiheshimu wao na familia zao.
Hivi Dorry...,

Mimi ni bosi.., lakini mwanaume niliyekamilika... Umekuja ofisini au nyumbani kwangu, mtoto una shape inaita.., chuchu hazijavishwa sidiria.. halafu umevalia kimitego mitego.., unazungusha zungusha macho kama kinyonga anaevizia wadudu... Hivi kweli nihamasike halafu nikae kama fala tuu nakutazama tuu...?! Naturally as a man..., nahamasika kingono kwa kuona..., na wanawake wote mnajua hili..
Kisa.., mimi mkubwa kiumri au bosi...?!

Then, sitakua mwana mume basi kukutazama tuu, nakuogopa kwani ...?! Kumtamanisha mwanaume na kumyima ngono ni UKATILI kabisa a... [emoji23]
Unaweza ukanitolea nje kunipa, lakini naturally utakua umenikosea kwa makusudi kabisa... Na hapa ktk hili.., lazima sheria zilinde wanaume...
Otherwise wanaume watapewa kesi za hovyo kila wakati...
 
Huu ni mtazamo wako tu kuwagroup wanaume katika makundi haya mawili

Umekosea kumfananisha mwanaume na mnyama katika muktadha huu maana wanyama hawafanyi ngono kwa starehe wao hujamiiana kwa uzarishaji tu so technically madume hayawezi kumuingilia jike kama atakuwa hayupo kwenye heat

Suala la wanaume kuijicontrol pia linategemea upande wa wanawake kujicontrol mavazi na mipaka ,unakuta binti amevaa nusu uchi tena anongea kwa madaha (nafikiri wewe unaweza usione kitu chochote cause you're a female) usimchombeze kwanini

Wanaume tuna involuntary action toward opposite sex na hata hao unaosema wanajieshimu ni kwamba tu wanavumilia mengi

Toka nakua mpk nazeeka siku zote nasikia wanaume wakijisifia wao ni kama Wanyama tuangalie sex drive ya Wanyama ndio sawa na yao. Na ndio maana hata wanajiita vijogoo. Wapo wanaume wanaweza kuhimili hivyo vishawishi ndio maana wengine hata uvae nini wala hawasumbuki nakumbuka bosi wangu kuna mwanamke alimpenda akawa wanavaa na kufanya vituko siku ya siku akaenda ofisini kwa bosi almost naked bosi alichokifanya alitoka akaulizia kama kuna mwanamke ana mtandio au khanga akapewa akampa huyo ghubeli akatoka ofisini kwa bosi na aibu na kazi aliacha mwenyewe so still bado kuna wanaume wako na utashi wa kujitambua na kuji control. Ukishaweka kitu kichwa ni kwako basi utasumbuka sana.
Mimi mwenyewe ni mwanamke lakini kuna aiina Fulani ya wanaume nawapenda but najitahidi kuko control hisia zangu.
 
Hivi Dorry...,

Mimi ni bosi.., lakini mwanaume niliyekamilika... Umekuja ofisini au nyumbani kwangu, mtoto una shape inaita.., chuchu hazijavishwa sidiria.. halafu umevalia kimitego mitego.., unazungusha zungusha macho kama kinyonga anaevizia wadudu... Hivi kweli nihamasike halafu nikae kama fala tuu nakutazama tuu...?! Naturally as a man..., nahamasika kingono kwa kuona..., na wanawake wote mnajua hili..
Kisa.., mimi mkubwa kiumri au bosi...?!

Then, sitakua mwana mume basi kukutazama tuu, nakuogopa kwani ...?! Kumtamanisha mwanaume na kumyima ngono ni UKATILI kabisa a... [emoji23]
Unaweza ukanitolea nje kunipa, lakini naturally utakua umenikosea kwa makusudi kabisa... Na hapa ktk hili.., lazima sheria zilinde wanaume...
Otherwise wanaume watapewa kesi za hovyo kila wakati...

Unaweza mfukuza kama hutaki kama unataka hakuna anayekuzuia otherwise hata binti yako anatamanisha so ni vizuri kuji control.
 
Back
Top Bottom